Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,449
- 7,898
kweny kadi ukitazama kuna namba za tarakimu 3 ndo hizo zina itwa cvv zinakua nyuma ya kadihii inakuwa kwenye kadi au inapatikana wapi mkuu?
kweny kadi ukitazama kuna namba za tarakimu 3 ndo hizo zina itwa cvv zinakua nyuma ya kadihii inakuwa kwenye kadi au inapatikana wapi mkuu?
Asante kwa ufafanuzi mkuukweny kadi ukitazama kuna namba za tarakimu 3 ndo hizo zina itwa cvv zinakua nyuma ya kadi
hii paypal kwa hapa bongo si nasikia haifanyi kazi mkuu auTumia site kubwa tu, site ndogo ndogo weka PayPal,
kazi inafanyahii paypal kwa hapa bongo si nasikia haifanyi kazi mkuu au
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Ndo maanaake hata paypal yenyewe mimi siiamini japo wanasema ni salama.apo chakufanya nikufungua akaunti nyingine ya manunuzi tu ili utakapotaka kufanya manunuzi unaihamishia ela kutoka kwenye akaunti nyingineJamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA .
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika kujaza taarifa nyingi zikiwemo card namba, code namba za siri za kadi yangu.
Wasiwasi wangu ni kuwa naogopa kwa kuhis baada ya manunuzi wale wenye site siku yoyote wanaweza wakanikata kiasi chochote cha fedha kwa sababu watakuwa wanataarifa za kutosha za kadi yangu kiasi cha kuwawezesha kuiba fedha kwenye akaunt yangu.
NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA KAMA NIMKEKOSEA
Code za siri zile tatu nyuma ya kadi.zinaitwa CVVUsalama upo...ila kudaiwa hadi namba za Siri? Site gan hyo imekuomba namba za siri?
Kama una wasiwasi na hiyo site inapokea malipo via paypal basi iunge na paypal ndo ufanye malipokuna zile namba tatu za mwisho kwenye kadi
Paypal ni salama saaana. Kwanza paypal wanamjali mteja kuliko mfanyabiashara ndiyo maana ukinunua kitu ela wanakata ila mteja hawaimwachii mpaka uconfirm umekipokea au kana ni mzigo aweke tracking number wajue kama umekufikia. Na mteja akiomba refund probability ya kurudishiwa pesa ni kubwa .Ndo maanaake hata paypal yenyewe mimi siiamini japo wanasema ni salama.apo chakufanya nikufungua akaunti nyingine ya manunuzi tu ili utakapotaka kufanya manunuzi unaihamishia ela kutoka kwenye akaunti nyingine
Yea lakini sio pakujiachia sana siku mtu ukijambishwa uchungu wa ela ndo utajulikana.better taking the risk of trusting them only 50%Paypal ni salama saaana. Kwanza paypal wanamjali mteja kuliko mfanyabiashara ndiyo maana ukinunua kitu ela wanakata ila mteja hawaimwachii mpaka uconfirm umekipokea au kana ni mzigo aweke tracking number wajue kama umekufikia. Na mteja akiomba refund probability ya kurudishiwa pesa ni kubwa .
Paypal bi safe zaidi kwa mlipaji kuliko mpokea pesa.
Paypal ni reputable company mkuu, na wala haibaki na pesa yako inakata kiasi kianachotakiwa directly from your debit card kwenda kwenye akaunti ya paypal ya unayemlipa, ambapo hicho kiasi anakipokea ila kinabaki kwenye hold kama ni bidhaa inabdi ajaze tracking number, kama ni huduma nyingine inabidi baada ya siku tatu ukubali kuwa umeipokea ndo wanaiachikia, kama labda unalipia hosting itabaki imeshikiliwa kwa siku 21 ambapo wewe unaweza kudai refund kwa chochote kitakachotokea.Yea lakini sio pakujiachia sana siku mtu ukijambishwa uchungu wa ela ndo utajulikana.better taking the risk of trusting them only 50%