Je, BoT wamepunguza kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku?

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Habarini?

Hivi majuzi nilipigiwa simu na watoa huduma kwa wateja kwamba, kutokana na Maagizo waliyopewa na BOT. Wamelazimika kupunguza kiwango changu cha matumizi yaani kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku.

Nikastaajabu sana kwanini wamenishusha hivyo. Majibu waliyonipa walisema sheria mpya toka BOT.

Nimeuliza wadau wanaotumia bank mbalimbali piia nao wanasema hawezi kutoa/kutuma hela zaidi ya 5M kwa njia ya sim bank, au kawaida mpaka aende bank ajaze deposit/withdraw slip ndiposa afanye miamala.

SWALI: Kwanini BOT wameamua kufanya hivi. Hawaoni wanapunguza mzunguko wa hela mtaani?


Msaada kunielewesha hili.
 
Inawezekana malalamiko ya kuibiwa yameripotiwa. Hivyo wanakusaidia kulinda hela zako. Nakumbuka kuna wakati ilikuwa inawezekana kulipia malipo ya serikali kwa online payments crdb
Baadaye wakaacha baada ya malalamiko ya wizi kuwa mengi.
 
Inawezekana malalamiko ya kuibiwa yameripotiwa. Hivyo wanakusaidia kulinda hela zako. Nakumbuka kuna wakati ilikuwa inawezekana kulipia malipo ya serikali kwa online payments crdb
Baadaye wakaacha baada ya malalamiko ya wizi kuwa mengi.
Waimarishe ulinzi wa kimtandao na sio kurudi nyuma kwenye swala la miamala
 
Habarini?

Hivi majuzi nilipigiwa simu na watoa huduma kwa wateja kwamba, kutokana na Maagizo waliyopewa na BOT. Wamelazimika kupunguza kiwango changu cha matumizi yaani kutuma na kutoa hela kwenye simu kwa laini isiyo ya uwakala kutoka 20M mpaka 5M kwa siku.

Nikastaajabu sana kwanini wamenishusha hivyo. Majibu waliyonipa walisema sheria mpya toka BOT.

Nimeuliza wadau wanaotumia bank mbalimbali piia nao wanasema hawezi kutoa/kutuma hela zaidi ya 5M kwa njia ya sim bank, au kawaida mpaka aende bank ajaze deposit/withdraw slip ndiposa afanye miamala.

SWALI: Kwanini BOT wameamua kufanya hivi. Hawaoni wanapunguza mzunguko wa hela mtaani?


Msaada kunielewesha hili.
Ujinga tuu wa Serikali za kijamaa
 
Back
Top Bottom