Msaada kuhusu kubadilisha jina

Msaada kuhusu kubadilisha jina

Samahani kidogo naomba kujuzwa zaidi, je kama ni muajiriwa serikalini ukibadilisha majina haitaweka matatani ajira yangu baada ya kuanza kutumia jina jipya?
Pili inawezekana kubadilisha majina yote matatu na isilete shida?
Hapana ni utaratibu wa kisheria Deed poll inakuwa kama certificate ndio maana lazima Iwe registered na serikali
 
Me nilienda ardhi wakaanda zile form then kwa wakili kupiga mhuri 10k. Then nikarudi ardhi nikallipia 30k . nikapwa control no ya 32500. Kwisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom