Msaada kuhusu kifurushi cha internet 24hrs -tigo

Msaada kuhusu kifurushi cha internet 24hrs -tigo

Bado haisaidii kuongeza speed hizo vpn client zina bypass restriction zilizowekwa tu kwenye hizo site ulizotaja lakini tukija kwenye jambo muhimu la speed hamna kitu. Hivi virushi mi nikiweka natumia ku-surf tu. BTW vpn clnt nyingine kwa wale youtubers ni SPOTFLUX kwa wale wanaotaka ku stream kwa mwendo wa kobe.
download speed inacheza kati ya 60KBps - 150KBps which is fair for a 500/= 24hr package..
 
download speed inacheza kati ya 60KBps - 150KBps which is fair for a 500/= 24hr package..
sasa spidi gani iyo ya kizushi inamaanisha kama ukidownload kitu kwenye idm itasoma 5kb/s-14kb/s ambayo haikufikishi popote.
 
sasa spidi gani iyo ya kizushi inamaanisha kama ukidownload kitu kwenye idm itasoma 5kb/s-14kb/s ambayo haikufikishi popote.

mkuu wewe ndio umemix ikiwa B ndio ya idm na ikiwa b ndio ya dashboard. inamaana speed aliosema jamaa ni 1.2mbps halafu kwenye idm ndio 150KBps
 
mkuu wewe ndio umemix ikiwa B ndio ya idm na ikiwa b ndio ya dashboard. inamaana speed aliosema jamaa ni 1.2mbps halafu kwenye idm ndio 150KBps
bro mi sijajichanganya ila ni we.huwezi niambia 150kbps ni sawa na 150kb/s kwa hilo chief nakataa.
 
bro mi sijajichanganya ila ni we.huwezi niambia 150kbps ni sawa na 150kb/s kwa hilo chief nakataa.

Bandwidth Notations

b = bits B = Bytes
Kb = Kilobits KB = Kilobytes
Mb = Megabits MB = Megabytes
Gb = Gigabits GB = Gigabytes


ps and /sec mean the same thing, per second.
 
bro mi sijajichanganya ila ni we.huwezi niambia 150kbps ni sawa na 150kb/s kwa hilo chief nakataa.

inayoleta utofauti sio stroke bali ni herufi ndogo b na herufi kubwa B

ikiwa b ni bits
ikiwa B ni bytes
 
bro mi sijajichanganya ila ni we.huwezi niambia 150kbps ni sawa na 150kb/s kwa hilo chief nakataa.
naona umejichanganya mwenyewe hapo alafu ukajikataa. 150kbps na 150kb/s ni sawa. zote zinasomeka One hundred and fifty kilobits per second.
 
Tigo wezi sana mimi natumia kabang ya elfu 10 kwa wiki wanasema internet unlimited lakini hawaelewi maana ya unlimited. Ukicheki video utube mfulilizo kinaisha sasa tigo hebu tuambieni hiyo unlimited yenu ina maana gani au unlimited kuperuz tu?

In ICT there is no unlimited internet ever .... ever.... terms and conditions applies
 
bro mi sijajichanganya ila ni we.huwezi niambia 150kbps ni sawa na 150kb/s kwa hilo chief nakataa.

150kbps ni sawa na 150kb/s tofauti ni presentation. Ni sawa na kusema velocity ni meter per second na mwingine akisema m/s
 
In ICT there is no unlimited internet ever .... ever.... terms and conditions applies
zantel walikuwa nayo unlimited ya siku tatu kwa elfu 15 wakaifuta sasa hivi wanayo unlimited ya mwezi kwa laki tatu; TTCL sasa hivi wanayo banjuka ya unlimited kwa lisaa charge ya masaa inategemea offpeak na peak times (ambapo ni anywhere from buku na ushee mpaka 650/=)
 
zantel walikuwa nayo unlimited ya siku tatu kwa elfu 15 wakaifuta sasa hivi wanayo unlimited ya mwezi kwa laki tatu; TTCL sasa hivi wanayo banjuka ya unlimited kwa lisaa charge ya masaa inategemea offpeak na peak times (ambapo ni anywhere from buku na ushee mpaka 650/=)

hiyo ni danganya Toto ,, never never ,, hakuna unlimited internet. labda internet ya wizi. huwezi ukapewa unlimited tena kwa sh 650/-. hiyo ya zantel walikuwa wanatoa kama 5GB kwa siku tatu peke yake. na ukimaliza hizo GB wanakupa free internet ya mwendo wa kobe ambayo huwezi ku download kitu cha maana. This is technology in Business broo
 
hiyo ni danganya Toto ,, never never ,, hakuna unlimited internet. labda internet ya wizi. huwezi ukapewa unlimited tena kwa sh 650/-. hiyo ya zantel walikuwa wanatoa kama 5GB kwa siku tatu peke yake. na ukimaliza hizo GB wanakupa free internet ya mwendo wa kobe ambayo huwezi ku download kitu cha maana. This is technology in Business broo

Mkuu nilikuwa natumia zantel ilivyokuwa unlimited siku tatu ninadownload vitu 24/7 hata kwa siku moja nakula zaidi ya 15gb haikuwahi kupungua speed, baada ya kufutwa sasa hivi nimehamia TTCL na hii banjuka nikipata issue za kufanya ninadownload usiku its unlimited mkuu, hakuna limit wala speed cap

Sasa mkuu unadhani kama wangekuwa wanatoa hizo 5gb ambazo mimi nazimaliza kwa masaa machache tu kwa hio elfu kumi na tano si ungeshaniona ninafungua thread na kuwatukana ?, Unlimited zenye cap ni zile za bei rahisi za voda, tigo, na airtel
 
Mkuu nilikuwa natumia zantel ilivyokuwa unlimited siku tatu ninadownload vitu 24/7 hata kwa siku moja nakula zaidi ya 15gb haikuwahi kupungua speed, baada ya kufutwa sasa hivi nimehamia TTCL na hii banjuka nikipata issue za kufanya ninadownload usiku its unlimited mkuu, hakuna limit wala speed cap

Pamoja sana. ila kwangu sio unlimited asee. pia kama unaye rafiki anayefanya kazi kwenye makampuni ya simu anaweza kukueleza ukweli kaka.
 
Pamoja sana. ila kwangu sio unlimited asee. pia kama unaye rafiki anayefanya kazi kwenye makampuni ya simu anaweza kukueleza ukweli kaka.

tatizo lipo kwenye kodi. voda wakati wanatoa university promotion kwa mara ya kwanza ilikua unlimited data, sms na voice call. wakaomba kwa tcra wapewe msamaha wa kodi kwenye ile offer ila wakakataliwa ndio ikabidi isiwe unlimited tena ije kuwa 500mb.

hata hii ya voda saa 4 usiku sjajua kitu gani kimefanya itolewe lakini nafikiri ni hayo hayo masuala ya kodi.
 
Voda pia wanayo unlimited ya saa 1
 
Kwa sasa nikiwa Dar natumia SMILE, mwisho wa matatizo so far, hope they'll keep up the current pace.
 
Back
Top Bottom