Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,132
- 34,104
Habarini Wadau,
Kwa kawaida huwa natumia kifurushi cha mwezi cha Vodacom, ila kimekata ghafla usiku huu na sikuwa na pesa yoyote ya kujiunga na kifurushi kingine
Ila kwenye line ya Tigo nina 4.7 GB ambazo huwa nazawadiwa na Tigo yaani MB 500 kila mara
MAAJABU SASA, yaani nimejaribu kufungua chochote hata Jamii Forums App haifunguki. Kuingia Twitter hata picture tu haifunguki achilia mbali video clips
Hivi kweli Tigo Tanzania mnaweza kusema nanyi mnaprovide huduma ya Internet? Au ni geresha tu?
Kwa kawaida huwa natumia kifurushi cha mwezi cha Vodacom, ila kimekata ghafla usiku huu na sikuwa na pesa yoyote ya kujiunga na kifurushi kingine
Ila kwenye line ya Tigo nina 4.7 GB ambazo huwa nazawadiwa na Tigo yaani MB 500 kila mara
MAAJABU SASA, yaani nimejaribu kufungua chochote hata Jamii Forums App haifunguki. Kuingia Twitter hata picture tu haifunguki achilia mbali video clips
Hivi kweli Tigo Tanzania mnaweza kusema nanyi mnaprovide huduma ya Internet? Au ni geresha tu?