SS punde hivi utamjua!
Ukitaka kumjua haraka bishana nae .
Madame B sio kutishiwa...yeye amekuambia tuBishanga,
Tusitishiane nyau bhana.
Smiling Saint ulikuwa hujui au ndio unapima kina kwa miguu?hivi hii habari ya u-mod wa Erickb52 ni kweli?
NAHITAJI KUJUA KUHUSU BAN NI NINI? MAANA NAONA MTU KAANDIKA AMERUDI BAADA YA KUPGWA BAN. UKIFANYA NINI UNAPIGWA BAN. NANI ANAEKUPIGA BAN. UNAJITOAJE. KWEMYE BAN? WAZOEFU HEBU MNIJUZE HILI. NB: sikumbuki km nilishawahi kusoma rules
stineriga naona unanikosea heshima sasa ndugu yangu
Endelea na maneno yako tu ila badae usijeanza mambo ya oooh nilikuwa natania tu
hivi hii habari ya u-mod wa Erickb52 ni kweli?
Smiling Saint ulikuwa hujui au ndio unapima kina kwa miguu?
sio vibaya makorokocho na wenyewe wakawa na mod wao,:flock:
mod wanajulikana/wanajijua na hawapazi sauti kuwa wao ni mod,:spider: