Davis chelsea
Member
- Jul 28, 2011
- 93
- 10
gharama za course nayoenda kusoma ni mil 1 na laki 3,nimepewa mil 3 laki 9...hizi ni %ngapi?
<br />300 asilimia, ila waeza kua ni kwa miaka mi 3
<br />gharama za course nayoenda kusoma ni mil 1 na laki 3,nimepewa mil 3 laki 9...hizi ni %ngapi?
<br /><br /><br />
<br /><br />
umesahau hesabu za kubadili namba kamili kwenda ktk asilimia?. Hilo swali la form one ndg.
gharama za course nayoenda kusoma ni mil 1 na laki 3,nimepewa mil 3 laki 9...hizi ni %ngapi?
<br />We wacha UMASABURI!...hapo kuna hela vitu vingi,sasa asilimia anazozungumzia yeye ni ada atalipiwa kiasi gani,acha kutumia kijambio kucrash wenzio!lione,hesabu za darasani sio za hela!...+#...<br /><br />
<br />
<br />Simple arithmetic.<br />
Million3 na laki 9=3,900,000/= hii ni kwa miaka mitatu. Kama kozi yako ni 3yrs.<br />
Gawanya kwa 3 upate kuwa kwa mwaka ni kiasi gani utapewa.<br />
3,900,000/3=1,300,000/=<br />
kwa mwaka mmoja unapewa milion 1 na laki tatu.<br />
Gharama ya kozi ni millioni moja. 1,300,000-1,000,000=300,000.<br />
Malizia hapo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
umepitia thread yake lakini?