Msaada kuhusu asilimia za mikopo

gharama za course nayoenda kusoma ni mil 1 na laki 3,nimepewa mil 3 laki 9...hizi ni %ngapi?
<br />
<br />
umesahau hesabu za kubadili namba kamili kwenda ktk asilimia?. Hilo swali la form one ndg.
 
We wacha UMASABURI!...hapo kuna hela vitu vingi,sasa asilimia anazozungumzia yeye ni ada atalipiwa kiasi gani,acha kutumia kijambio kucrash wenzio!lione,hesabu za darasani sio za hela!...+#;)...
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umesahau hesabu za kubadili namba kamili kwenda ktk asilimia?. Hilo swali la form one ndg.
<br />
<br />
 
We wacha UMASABURI!...hapo kuna hela vitu vingi,sasa asilimia anazozungumzia yeye ni ada atalipiwa kiasi gani,acha kutumia kijambio kucrash wenzio!lione,hesabu za darasani sio za hela!...+#;)...&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
umepitia thread yake lakini?
 
Simple arithmetic.
Million3 na laki 9=3,900,000/= hii ni kwa miaka mitatu. Kama kozi yako ni 3yrs.
Gawanya kwa 3 upate kuwa kwa mwaka ni kiasi gani utapewa.
3,900,000/3=1,300,000/=
kwa mwaka mmoja unapewa milion 1 na laki tatu.
Gharama ya kozi ni millioni moja. 1,300,000-1,000,000=300,000.
Malizia hapo.
 
Umedema!
Simple arithmetic.<br />
Million3 na laki 9=3,900,000/= hii ni kwa miaka mitatu. Kama kozi yako ni 3yrs.<br />
Gawanya kwa 3 upate kuwa kwa mwaka ni kiasi gani utapewa.<br />
3,900,000/3=1,300,000/=<br />
kwa mwaka mmoja unapewa milion 1 na laki tatu.<br />
Gharama ya kozi ni millioni moja. 1,300,000-1,000,000=300,000.<br />
Malizia hapo.
<br />
<br />
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom