Msaada! Kufuta namba contact

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Jan 6, 2021
4,085
8,452
Habari! 🖐️

Natumai mu wazima nimepata matatizo ya kushindwa kufuta majina hasa yanayo nambia read-only contact from whatsapp naomba msaada kwa yeyote anayejua kwani hunikera sana sio siri nahitaji kuyaondoa nipo nasubiri majibu yenu yakiugwana
🤝🤝🤝
 
Back
Top Bottom