Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
Karibu mpendwa...Sawa dear..thank's
Karibu mpendwa...Sawa dear..thank's
madame nielekeze dawa ya michirlizi maana imekaa km raman ya africa
Madame naomba darasa tafadhali...Maelekezo
Mahitaji
1. Extra clair cream yenye lemon
Extra clair cream ipo ya carrot na lemon.
Wewe chukua ya lemon.
Inauzwa 7000/=
2. Glycerine ya Alovera
Inauzwa 1000/=
3. Movate tube 2,(Kama unataka kung'aa sana) au tube 1,(kama hutaki kung'aa sana)
Tube moja sh 3000 mbili sh 6000
4. Lotion yoyote laini yenye mchanganyiko wa asali ndani yake mfano hizi za Revlon au hizi za kupaka mwilini ila ziwe na mchanganyiko wa asali ndani yake.
Hizi zinauzwa sh 5000 mpaka 7000
5. Mfuko mdogo kwa ajili ya kuchanganyia mchanganyiko wako
Hatua.
1. Chukua mfuko tia lotion ya Revlon pamoja na cream ya Extra clair ya lemon kisha chukua kijiko na uchanganye mchanganyiko wako vizuri.
2. Baada ya kuchanganyika vizuri....tia tube ya movate 1(kama hutaki kung'aa sana) na tube 2(kama unataka kunga'aa sana) kisha koroga mpaka uchanganyike na uone rangi imekuwa kijani angavu.
3. Malizia kuweka glycerine kisha funga mfuko halafu upige pige mfuko mpaka uhakikishe mchanganyiko wako umechanganyika vizuri.
4. Andaa vikopo vile vile ulivyotoa lotion kuwekea mkorogo wako.
Utoboe mfuko kwenye kona ili kumimina mchanganyiko wako kwenye vikopo.
5. Ukishauweka kwenye vikopo....uache kwa lisaa 1 ndipo uanze kupaka.
Paka mwili mzima, kuanzia usoni, tumboni, makalioni mpaka nyayoni.
NB:
Waweza tia glycerine yoyote kama utakosa ya alovera.
Ukipata glycerine ya Uganda itakuwa vizuri sana.
Mkorogo huu unaweza kuutumia wewe mwenyewe binafsi nyumbani au kibiashara.
Kama binafsi, kukata harufu ya lemon, tafuta majani ya mvuto tia mule na harufu itakata.
Kwa biashara, kadri inavyokaa ndivyo harufu inaisha.
Waweza paka mara 1 au 2 kwa siku.
Ila ni vizuri kupaka usiku ili asubuhi unaamka na kuoga kisha unapaka mafuta ya nazi tu na kuendelea na shughuli zako.
Paka mapajani, mikononi, usoni, kwenye vingwimba vya mikono na miguu. Hauna madhara hata 14+ anapaka.
Kama unahisi mwili wako una mabaka mabaka ya vipele au ya mbu, fuata hatua hizi:
Chukua mafuta ya nazi (hakikisha umetengeneza mwenyewe) vijiko 10, kisha chukua vijiko 3 vya asali tia katika mafuta yako ya nazi na uchanganywe.
Pakaa sehemu iliyoathirika na mabaka, ukishapaka kaa nayo dk 10 kisha bila kunawa paka huo mkorogo wako juu ya mwili wako.
Ndani ya siku 5-7 mabaka yatapotea na utapata weupe wa kuteleza.
Asanteni.
Nakaribisha maswali, ushauri, maoni n.k
😢😢aise🙌Jik
Carotone cream
Omo
Carotone maji
Sabuni ya magadi 7
Baking powder n.k
🤣🤣🤣🤣Weka
Gesi ile ya mtwara
Maji ya betri
Then baada ya weeks nipe mrejesho
Yaani anakaa ni kama plastik kha!mie hua ananitishaga alivyojichubua
😂😂😂😂ushasema aise ni hatareUle mkorogo wa kuzimu ule
Hatare nakwambia nmewaza kwa sauti hvo hvoDuuu..kwa huu mchanganyiko si michirizi itakuwa ka ma kitabu...
Ni msiba mkubwa jmn😥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kha!umetisha sana🙌Dah...
Chukua asidi ya betri gari robo Lita...chumvi gram100...simenti vijiko 6 vya chakula.....hamira vijiko 3....pilipili manga gramu 50...changanya Kisha chemsha kwa masaa3...bandika usoni ikiwa Moto....nope mrejesho inbox...nimekupa bure kabisa hi formula....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh aisee..hii yote ili kuwa nweupe ?Jik
Carotone cream
Omo
Carotone maji
Sabuni ya magadi 7
Baking powder n.k
Ni hatare pale ukienda mpka waarabu wanajichubua unajiuliza inakuwaje na wao wanangozi nzuri 😢kwakweli Mungu atusaidie sana wanawake
Kwakweli ni hatare sanaOoh Kansa zimezidi Ocean Road..
Ooh figo zimekataa kufanya kazi
Ooo maini yameoza..
Ooh mimba zinatoka...
Silaha za maangamizi zinatengenezwa na wanawake wenyewe ...
Mungu atunusuru
Tulipie mwaya itakuwa Kuna mambo mazuri hukoMambo ni magumu aunt 😂 watu wanajiripua
Nimeona kule masta kafunga kureply.. tulipie basi 🤣🤣 nina maswali 1000 nataka nimuulize