ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,427
- 5,317
1. Maji ya mvua
Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani
Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama
2. Maji ya dukani
Haya ambayo yapo kwenye machupa
Mfano hill water, jambo, afya n.k
Kuna watalaam wanasema sio salama kwa kuwa yameongezea chemicals za kuyasafisha yawe meupe yani ule weupe sio asilia na yana madhara
3 maji ya bomba
Wengine wanasema ni maji mazuri tuyaamini kwakuwa yana madini yanatoka kwenye mwamba japo yana rangi mbaya ambayo binafsi siyaamini.
Na process yote hadi yafike kwa mteja yanakuwa yamewekewa madawa
Wataalam naomba mnisaidie niwe nakunywa maji gani yenye virutubisho vya mwili
Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani
Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama
2. Maji ya dukani
Haya ambayo yapo kwenye machupa
Mfano hill water, jambo, afya n.k
Kuna watalaam wanasema sio salama kwa kuwa yameongezea chemicals za kuyasafisha yawe meupe yani ule weupe sio asilia na yana madhara
3 maji ya bomba
Wengine wanasema ni maji mazuri tuyaamini kwakuwa yana madini yanatoka kwenye mwamba japo yana rangi mbaya ambayo binafsi siyaamini.
Na process yote hadi yafike kwa mteja yanakuwa yamewekewa madawa
Wataalam naomba mnisaidie niwe nakunywa maji gani yenye virutubisho vya mwili