Jifunze kutengeneza mkorogo mzuri na usio na madhara kwa afya yako

Kama unahisi mwili wako una mabaka mabaka ya vipele au ya mbu, fuata hatua hizi:

Chukua mafuta ya nazi (hakikisha umetengeneza mwenyewe) vijiko 10, kisha chukua vijiko 3 vya asali tia katika mafuta yako ya nazi na uchanganywe.
Pakaa sehemu iliyoathirika na mabaka, ukishapaka kaa nayo dk 10 kisha bila kunawa paka huo mkorogo wako juu ya mwili wako.
Ndani ya siku 5-7 mabaka yatapotea na utapata weupe wa kuteleza.

Asanteni.
Nakaribisha maswali, ushauri, maoni, mapovu, kejeli, matusi, lawama na malalamiko.
Wifi nimeipenda hii lakini nimeogopa hapo kwenye weupe...ina maana hata kama mi mweusi napata weupe kwa maana kwamba inanichubua?
Na hilo litakuwa zoezi endelevu au baada ya hizo siku naweza kuacha na mabaka yasirudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wifi nimeipenda hii lakini nimeogopa hapo kwenye weupe...ina maana hata kama mi mweusi napata weupe kwa maana kwamba inanichubua?
Na hilo litakuwa zoezi endelevu au baada ya hizo siku naweza kuacha na mabaka yasirudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Weupe wa hapa sio huu wa uarabu wifi....
Weupe wa cream pozo tofauti na wa cream kali.
Uzuri unapaka kwenye mabaka au hata mwili mzima.
Ila kama unahofia kung'aa sana, paka serum ya kuondoa mabaka tu..ili ubaki na rangi yako wifi.
Hebu natural iachie misitu bhana
 
Weupe wa hapa sio huu wa uarabu wifi....
Weupe wa cream pozo tofauti na wa cream kali.
Uzuri unapaka kwenye mabaka au hata mwili mzima.
Ila kama unahofia kung'aa sana, paka serum ya kuondoa mabaka tu..ili ubaki na rangi yako wifi.
Hebu natural iachie misitu bhana
Nielekeze ya kuondoa mabaka tu bila kung'arisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......piteni huko ebu

Sent using Jamii Forums mobile app
20190122_212353.jpg
 
Ushaambiwa ni mkorogo wa asili ambao hauna madhara sasa wewe unaleta mapovu hapa......pita kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wake wa maofisa wa TFDA.
Hahhahaha.....
Ngozi zetu, ashuo lao.
Acha tubabuke...tumeyataka mwenyewe
Wanajikutaga washauri wa ngozi pale Ocean road Cancer Institute
Pls non of your bness kupaka tupake cc kuumia uumie wewe..............kama haikuhusu pita kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama....tufanye yale yanayotupendeza.
Kila mtu na maamuzi yake.
Anayetaka ataufata na asietaka atajijua.
Hapa ni talk openly.....free forum mama.
Usijitegue tezi za koo bure kujibishana na mtu
 
Maelekezo

Mahitaji
1. Extra clair cream yenye lemon
Extra clair cream ipo ya carrot na lemon.
Wewe chukua ya lemon.
Inauzwa 7000/=

2. Glycerine ya Alovera
Inauzwa 1000/=

3. Movate tube 2,(Kama unataka kung'aa sana) au tube 1,(kama hutaki kung'aa sana)
Tube moja sh 3000 mbili sh 6000

4. Lotion yoyote laini yenye mchanganyiko wa asali ndani yake mfano hizi za Revlon au hizi za kupaka mwilini ila ziwe na mchanganyiko wa asali ndani yake.
Hizi zinauzwa sh 5000 mpaka 7000

5. Mfuko mdogo kwa ajili ya kuchanganyia mchanganyiko wako



Hatua.

1. Chukua mfuko tia lotion ya Revlon pamoja na cream ya Extra clair ya lemon kisha chukua kijiko na uchanganye mchanganyiko wako vizuri.

2. Baada ya kuchanganyika vizuri....tia tube ya movate 1(kama hutaki kung'aa sana) na tube 2(kama unataka kunga'aa sana) kisha koroga mpaka uchanganyike na uone rangi imekuwa kijani angavu.

3. Malizia kuweka glycerine kisha funga mfuko halafu upige pige mfuko mpaka uhakikishe mchanganyiko wako umechanganyika vizuri.

4. Andaa vikopo vile vile ulivyotoa lotion kuwekea mkorogo wako.
Utoboe mfuko kwenye kona ili kumimina mchanganyiko wako kwenye vikopo.

5. Ukishauweka kwenye vikopo....uache kwa lisaa 1 ndipo uanze kupaka.

Paka mwili mzima, kuanzia usoni, tumboni, makalioni mpaka nyayoni.

NB:
Waweza tia glycerine yoyote kama utakosa ya alovera.
Ukipata glycerine ya Uganda itakuwa vizuri sana.

Mkorogo huu unaweza kuutumia wewe mwenyewe binafsi nyumbani au kibiashara.

Kama binafsi, kukata harufu ya lemon, tafuta majani ya mvuto tia mule na harufu itakata.

Kwa biashara, kadri inavyokaa ndivyo harufu inaisha.
Waweza paka mara 1 au 2 kwa siku.
Ila ni vizuri kupaka usiku ili asubuhi unaamka na kuoga kisha unapaka mafuta ya nazi tu na kuendelea na shughuli zako.

Paka mapajani, mikononi, usoni, kwenye vingwimba vya mikono na miguu. Hauna madhara hata 14+ anapaka.

Kama unahisi mwili wako una mabaka mabaka ya vipele au ya mbu, fuata hatua hizi:

Chukua mafuta ya nazi (hakikisha umetengeneza mwenyewe) vijiko 10, kisha chukua vijiko 3 vya asali tia katika mafuta yako ya nazi na uchanganywe.

Pakaa sehemu iliyoathirika na mabaka, ukishapaka kaa nayo dk 10 kisha bila kunawa paka huo mkorogo wako juu ya mwili wako.

Ndani ya siku 5-7 mabaka yatapotea na utapata weupe wa kuteleza.

Asanteni.
Nakaribisha maswali, ushauri, maoni n.k
Mamy majani ya mvuto yanapatikana wapi?
 
madame nielekeze dawa ya michirlizi maana imekaa km raman ya africa
Kusema ule ukweli michirizi kama michirizi haina dawa maalum ya kuondoa ikaisha kabisa.
Ila mie najua ya kupunguza tu... ila kadri unavyijitahidi ndivyo inapotea taratibu.
Huwa nilisikia wengi wakisema kuwa viazi mviringo ukivisaga kisha ukapakaa yale majimaji yake, huwa inasaidia sana sana.
Sikuwahi kujaribu ila waliojaribu wamesema angalau inapunguza kwa asilimia kadhaa.
Unasaga/parua pamoja na maganda yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom