daa noma Sana dawa milion mbil na nusu?Haaaaa kuomba doz mbadala sasa..haaa ndo balaaa hata kuifikisha kwa mgonjwa nilishindwa
Saiv haina cha maofisin wote tu hata wamama wa nyumban wenyew tamaa za madira na rasta kama mume hana hela ya kukamilisha hayo wanaupata tena wa bei rahisLabda wale wanawake wa maofisi ndio wengi wao ni vicheche.
Asante nashukuru kwa ushaurPole sana kwa kuuguza ila kama ameshanza kutumia dawa ndani ya miezi sita wanaweza kumpima kipimo cha HVL count au Cd4 count.Inaweza ikawa kwa sababu ya poor adherence kwenye dawa(hamezi dawa vizur kwa muda muafaka) au anapata new infection. Kipimo kikionyesha kuwa ana high number of viral load kuanzia 1000copies then wahudumu watakuita wew na mteja wako mtapewa usharuir then watafanya monitoring ya HVL count kwa miezi mitatu kuangalia kama wadudu wanaongezeka au wanapungua. Wakipungua hawabadilishi dawa ila wakiwa wanaongezeka litakaa jopo kwa ajili ya kumbadilishia dawa aingie kwenye 2nd line kwa sababu 1st line zitakuwa zimefeli.
Ila ni muhimu kumsisita kutumia dawa vzur kwani matumizi sahihi ya ARVs yanasaidia kupandisha kinga ya mwili.
mimi lengo langu ni kumsaidia ndugu yetu hivyo kwa kuwa mnahitaji detail ngoja niwape!!utakua umemsaidia ili na wengine kuwasaidia ebu weka mambo WAZI NA BEI PIA USIMVUTIE INBOX
Duh humu kuna kila aina ya ushauri? HIV NI MINDSET NO SUCH THING IN REALITY??TERRIBLE,VERY DANGEROUS KAMA TUNA WATU WANAODANGANYA KIASI HICHINa saiv yuko na 17 yrs yuko poa mno.....ila kuhus kuacha ARV n ngum kidog mana zimeshakuwa kama ulev flan na kinywa usiku hulewa na kulala fofofo
Mimi sipo kwenye sector hiyoo.
Swali kama hakuna HIV kwanini mtu akifanya mapenzi na mtu mwenye huo ugonjwa huwa dalili zinafanana za ugonjwa ina maana hiyoo ni nini?
Mfano mzuri kabla Arvs hazijaenea.
Alishaanza clinic muda mrefu sana
Asante tutajitahid kwa hiloKama alishaanza clinic anatakiwa awe na good adherence (atumie dawa kwa wakati kama anatumia asubuhi na jioni, atumie saa mbili sharp asubuhi na usiku hasipitilize, pili ale chakula kama anashindwa mpeni kila baada ya nusu saa ale chochote, (kati ya tunda, maziwa, mboga za majani juice, chakula nk) zitaongezeka tu. Tatizo lake nadhani lipo hapo maana hizo dawa akiwa na good adherence sinasaidia.
Kitu kingine, wengi wasichojua, ukipata ukimwi tulia, unapojidanganya unasambaza unajiingiza kwenye risk mwenyewe, kwani hizi dawa ziko resistance na virus Fulani, unapoenda kujichanganya ukatengeneza virus wa aina yako hazitakusaidia, kwani hazitafanya kazi tena. Ukigundua live and stay health.
Asante tutajitahid kwa hilo
mkuu daa ww unaleta siasa maji taka kwenye Huu ugonjwaKwa hiyo na wewe unakubali kwamba ukimwi unaambukiza?...he hee hee kweli sisi tunakufa kwa mengi sana.
ukiwa mjinga kwenye jambo kujijua ni vigumu sana....kwanini hutaki kujadili nilichoandika na badala yake unakimbilia kusema kwamba naleta siasa?Onesha wapi nimeleta siasa.mkuu daa ww unaleta siasa maji taka kwenye Huu ugonjwa
Mimi ninaweza kumpandisha huyo Mgonjwa CD4 na Kumtibia maradhi yake ya HIV na akapona ukiwezakunitafuta. Ninakupa Dawa mbili hizi tumia huku ukijipanga kunitafuta. Mgonjwa Mtindi halisi wa ng'ombe sio mtindi unaotengenezwa Maviwandani. Anunuwe mtindi unatokana na wawafugaji wa ng'ombe awe anakunyw akila siku asubuhi mchana na usiku. Dawa ingine ya kupandisha CD4 awe anakunywa chai ya mchaichai itaweza kumpandisha CD4. Ukihitaji nimtibu mgonjwa wako wa ukimwi Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Ndugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula
Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
Acheni unafiki c mu mtajeNamjua,,, haaaa watu wanamirad hum
Halafu.....mmbea mkubwa ww,,,msxxeeuuuAcheni unafiki c mu mtaje
#Halafu.....mmbea mkubwa ww,,,msxxeeuuu
Upstair utakuwa hauko Sawa
Mh, mtu anatapeli watu pesa zao tena wagonjwa, halafu bado hamtaki kumtaja, mnamuongelea kimafumbo, kama sio unafiki huo ni nini, mtumbueni ili kuokoa wengine, halafu unatukana tuu, nadhani 61% inakuhusu 
Kaka naomba mawasiliano yakoHayo uliyotaja yote ni matokeo ya matumizi ya muda mrefu ya ARVs....matatizo hayo hayasababishwi na HIV....ukitaka kujua hilo fungua karatasi ile ndani ya kikopo cha ARVs kisha uisome...
Tatizo la watu wengi huwa hawapendi kufuatilia mambo haya....wakipata matatizo wanamsingizia HIV bila kujua kwamba matatizo hayo yote yameelezwa kinaga ubaga ndani ya ile karatasi....na hao waliotudanganya wameandika yale matatizo kwa maandishi ambayo wanajua wazi kabisa sisi watu hasa wa dunia ya tatu ni wavivu wa kusoma,hivyo hawana wasiwasi na hilo.