Msaada jinsi ya kuongeza CD4

Msaada jinsi ya kuongeza CD4

Mkuu pole kama bado mgonjwa hajapata nafuu atumié dawa hii naiamini na nishasaidia wengi ndgu wa karbu ,
1 robo kilo ya tangawizi mbchi
2 robo kilo ya karoti
3 robo kilo ya vitunguu saumu
4 majan 3 ..4ya aloe vela
5 malimao 5
Akate kate vipande vidogo vidogo bila kumenya chochote achemshe kwenye maj lta 5 akiwa amefunika kuchemsha syo kupika anaepua anachja anaweka kwa kigeleni anakua anatumia kikombe kutwa mara 3 akitaka anaweka na asal kidogo kupata radha akipenda ndan ya wiki 2..3 ataona mabadiliko makubwa mno hivyo anaweza kuwa anatia kla baada ya miezi 3 kupandisha cd4 zake chap
 
Pia fahamu kwamba,CD4 ni biashara tu,CD4 hazina uhusiano na afya ya mtu...hii ni trick tu..ni ujanja ujanja wa watu ili wajiingizie kipato kwenye biashara hii.Kuna safari ndefu sana kama unataka kujua ukweli wa suala hili.

Cha msingi hapo ni kuacha kabisa matumizi ya ARVs na ku focus kwenye kula vyakula bora na hata matumizi ya suppliments,basi.

ANGALIZO:
ARVs haziachwi ghafla,ukiacha ghafla unaweza kufa kutokana na addiction yake,na fahamu pia kwamba ARVs zimetengenezwa kwa makusudi ziwe addictive ili mtu asiweze kuacha ghafla..akiacha anaweza kuugua sana na hata kufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.

PROOF:
Kuna watu wengi walishaelewa suala hili na sasa wameacha kabisa ARVs na wako safi kabisa kiafya.Wapo wengi pia ambao hawajazigusa kabisa pamoja na kwamba wameambiwa wana HIV na wana afya njema miaka mingi imepita hadi sasa.HIV ni propaganda tu ili kuwajengea watu woga ili iwe rahisi kuwashawishi watumie ARVs ambazo sasa ndizo zinazosababisha matatizo yote unayoyaona kwa watumiaji baada ya kuzitumia kwa muda mrefu.

Uthibitisho wa haya ninayosema upo wazi kabisa hata kama mtu yeyote atapinga.Huwezi kueleweka kwa watu wote,wapo watakaopinga na pia wapo werevu watakaokuelewa.Hivyo just take your time to learn.
Nyie ndio mnatuletea ma ushauri kama yale ya korona kuwa ni biashara, Mwishowe wakafa watu kibao.

Yaani kweli umekaa serious unashauri watu waache ARV , ushahidi upo wazi jinsi gani matumizi ya ARV yanavyosaidia watu. Ukitaka kujua angalia kipindi ARV Haijaanza kutumika na sasa hvi ambapo inatumika. Zamani vifo na madhara yalikuwa mengi na makubwa ukilinganisha na sasa

Kwa upande wangu mimi nashauri watu waendelee kutumia ARVs na lishe bora na mazoezi. Bila kusahai supliments mbalimbali
 
Pia fahamu kwamba,CD4 ni biashara tu,CD4 hazina uhusiano na afya ya mtu...hii ni trick tu..ni ujanja ujanja wa watu ili wajiingizie kipato kwenye biashara hii.Kuna safari ndefu sana kama unataka kujua ukweli wa suala hili.

Cha msingi hapo ni kuacha kabisa matumizi ya ARVs na ku focus kwenye kula vyakula bora na hata matumizi ya suppliments,basi.

ANGALIZO:
ARVs haziachwi ghafla,ukiacha ghafla unaweza kufa kutokana na addiction yake,na fahamu pia kwamba ARVs zimetengenezwa kwa makusudi ziwe addictive ili mtu asiweze kuacha ghafla..akiacha anaweza kuugua sana na hata kufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.

PROOF:
Kuna watu wengi walishaelewa suala hili na sasa wameacha kabisa ARVs na wako safi kabisa kiafya.Wapo wengi pia ambao hawajazigusa kabisa pamoja na kwamba wameambiwa wana HIV na wana afya njema miaka mingi imepita hadi sasa.HIV ni propaganda tu ili kuwajengea watu woga ili iwe rahisi kuwashawishi watumie ARVs ambazo sasa ndizo zinazosababisha matatizo yote unayoyaona kwa watumiaji baada ya kuzitumia kwa muda mrefu.

Uthibitisho wa haya ninayosema upo wazi kabisa hata kama mtu yeyote atapinga.Huwezi kueleweka kwa watu wote,wapo watakaopinga na pia wapo werevu watakaokuelewa.Hivyo just take your time to learn.
Nimeangalia maana ya Username yako nikapata majibu na wala siwezi kukulaumu


Deception - the action of deceiving someone.
 
Mama yako mdogo anaingiza sumu mwilini kwa kula ARVs halafu anaipunguza kwa kula matunda fresh,juisi,mboga za majani na rosela pamoja vitu vya kuongeza damu,ndio maana unamuona ana afya njema....wale wanaokula ARVs bila kufuata hayo masharti hawadumu muda mrefu....ARVs ndio tatizo basi kama hujui,HIV anasingiziwa tu,ndio maana wasiotumia ARVs halafu wakafuata utaratibu mzuri wa maisha wanakuwa na afya njema maisha yao yote hata kama wameambiwa wana HIV....

HIV amepata umaarufu kupitia vipimo feki tu....there is no such a thing HIV in reality.

HIV/AIDS is just a MINDSET disease.Hakuna ugonjwa kama huo kiuhalisia.
Shame on you
 
Dozi alishaanza mwanzon ilikuwa inamsaidia ila sasa hivi hali yake ni mbaya sanaa
Atafune mbegu tatu za mlonge!kila siku asubuhi anywe na maji MENGI!ZILE mbegu zinamenywa kwanza utakuta kiini chake ndio atafune anywe na MAJI!
 
Mama yako mdogo anaingiza sumu mwilini kwa kula ARVs halafu anaipunguza kwa kula matunda fresh,juisi,mboga za majani na rosela pamoja vitu vya kuongeza damu,ndio maana unamuona ana afya njema....wale wanaokula ARVs bila kufuata hayo masharti hawadumu muda mrefu....ARVs ndio tatizo basi kama hujui,HIV anasingiziwa tu,ndio maana wasiotumia ARVs halafu wakafuata utaratibu mzuri wa maisha wanakuwa na afya njema maisha yao yote hata kama wameambiwa wana HIV....

HIV amepata umaarufu kupitia vipimo feki tu....there is no such a thing HIV in reality.

HIV/AIDS is just a MINDSET disease.Hakuna ugonjwa kama huo kiuhalisia.
Mkuu

Unachomesha WATU ujue!!?

Wakikuamini halafu wakaanza kufa!?utalipia gharama za uhai WAO!?
 
Kuna uwezekano mkubwa sana huyo ndugu yako atakuwa anatumia ARVs,ARVs ndizo zilizomsababishia matatizo hayo yote na wala si HIV kama anavyosingiziwa.Ukitaka kuamini haya ninayosema fungua karatasi iliyomo ndani ya kikopo cha ARVs anazotumia kisha uisome kwa makini sana utaona kwamba,hayo matatizo yote aliyonayo yameelezewa ndani ya hiyo karatasi.

Waliotudanganya kuhusu HIV/AIDS wametumia akili nyingi sana kiasi cha mtu wa kawaida kushindwa kutambua ukweli ulivyo,hii ni biashara ya watu sana duniani,ninyi hamjui tu.

Sasa nina uhakika pia,ukimpima huyo ndugu yako hapo alipo atakuwa na upungufu wa damu pia,halafu kuna matatizo mengine sitayataja lakini nina uhakika anayo.Sasa ili uthibitishe maneno haya,hebu mchunguze huyo ndugu yako na ulinganishe na haya ninayosema.Sijamwona ndugu yako lakini najua kutokana na uzoefu na ukweli wa haya ninayoongea.
Inaonekana una kaujuzi flani hebu tupe details zaidi mkuu
 
Kuna uwezekano mkubwa sana huyo ndugu yako atakuwa anatumia ARVs,ARVs ndizo zilizomsababishia matatizo hayo yote na wala si HIV kama anavyosingiziwa.Ukitaka kuamini haya ninayosema fungua karatasi iliyomo ndani ya kikopo cha ARVs anazotumia kisha uisome kwa makini sana utaona kwamba,hayo matatizo yote aliyonayo yameelezewa ndani ya hiyo karatasi.

Waliotudanganya kuhusu HIV/AIDS wametumia akili nyingi sana kiasi cha mtu wa kawaida kushindwa kutambua ukweli ulivyo,hii ni biashara ya watu sana duniani,ninyi hamjui tu.

Sasa nina uhakika pia,ukimpima huyo ndugu yako hapo alipo atakuwa na upungufu wa damu pia,halafu kuna matatizo mengine sitayataja lakini nina uhakika anayo.Sasa ili uthibitishe maneno haya,hebu mchunguze huyo ndugu yako na ulinganishe na haya ninayosema.Sijamwona ndugu yako lakini najua kutokana na uzoefu na ukweli wa haya ninayoongea.
Inaonekana una kaujuzi flani hebu tupe details zaidi mkuu
 
Ndugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula


Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
Atumie arv no wayout
 
Halafu vinakuja vipumbavu humu ndani eti HIV ni hoax
 
Nyie ndio mnatuletea ma ushauri kama yale ya korona kuwa ni biashara, Mwishowe wakafa watu kibao.

Yaani kweli umekaa serious unashauri watu waache ARV , ushahidi upo wazi jinsi gani matumizi ya ARV yanavyosaidia watu. Ukitaka kujua angalia kipindi ARV Haijaanza kutumika na sasa hvi ambapo inatumika. Zamani vifo na madhara yalikuwa mengi na makubwa ukilinganisha na sasa

Kwa upande wangu mimi nashauri watu waendelee kutumia ARVs na lishe bora na mazoezi. Bila kusahai supliments mbalimbali
wazungu pia wanatumia ARV
 
Poleni sana mkuu, ipo dawa ya asili nzuri sana kwa wenye HIV Inaongeza cd4,nguvu na afya mwilini mwa mgonjwa na akiianza hatahitaji tena hizo ARV's tuwasiliane nijue uko wapi na jinsi ya kuipata tafadhari 0656 871878

n.b sitanii
Hapo akimtafuta bei inaanzia 150 halafu haponi..
Kwani ukiandika hutanii ndio ukweli?
 
Kinachowafanya wawe na afya ni kuishi kwa lifestyle nzuri na si ARVs kama unavyoamini.Soma sana utajua tu mkuu.What about wale ambao hawatumii kabisa ARVs na bado wana afya njema kwa miaka mingi tu?Huwezi kufanya udadisi kwenye hilo pia?
Kuna mwmaba aliandika hivib..
Mtu kabla hajaenda kupima hali inakuwa shwari ... akishaenda kupima akipewa majibu ndio hali hubadilika

So anaweza kuishi nao kwa muda mrefu ili hali asijijue ila akijijua ndio inakuwa nongwa
 
Kuna mwmaba aliandika hivib..
Mtu kabla hajaenda kupima hali inakuwa shwari ... akishaenda kupima akipewa majibu ndio hali hubadilika

So anaweza kuishi nao kwa muda mrefu ili hali asijijue ila akijijua ndio inakuwa nongwa
Ujue kuna placebo effect ambapo hujulikana sana ila wachache hutambua nguvu yake kwenye self-healing, ila kibaya zaidi kuna nocebo effect(The power of negative beliefs hii ina nguvu sawa na placebo effect. Sasa hii nocebo effect ndio huwapata sana hao wanapima na kuambiwa wana ukimwi.

Kuna siku moja nipo saluni yule kinyozi anamnyoa jamaa huku wanapiga story, kinyozi anamwambia jamaa kuwa kapungua sana siku hizi, jamaa akasema wewe ni kama mtu wa tatu kuniambia hivyo hadi mkewe pia kamwambia.
Sasa kinyozi aliharibu kabisa ni pale aliposema kuwa umeukwaa yani ukimwi, hapo akawa kamkata stimu kabisa jamaa akaanza kuwaza kuwa pengine ni kweli maana anasema yeye ni mtu wa mademu sana, jamaa akapoteza mood kabisa akawa anawaza akienda kupima na kuambiwa ana ukimwi kweli itakuaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom