ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,133
- 2,117
kuna dawa zimetengenezwa na maprofesa wa medicine nchini Malaysia zitamsaidia huyo ndugu yetu kuongeza CD4 ndani ya wiki 3!! Mimi ni mwanafunzi wa udaktar nipo last year ila kwa sasa nafanya kazi ktk dispensary ya profesa mmoja hivi mstaafu!! huyu mzee huwa anaagiza hizi dawa Malaysia na atakufundisha jinsi ya kuzitumia pamoja na kufatilia hali ya mgonjwa!!! nakuhakikishia hutaamini na utagundua kwenye medicine dawa zipo sema maprofesa wanaambiana na kusaidiana wao kwa wao tu.....kama utakuwa interested nitumie namba yko kwa pm tujue jinsi ya kumsaidia ndugu yetuNdugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula
Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
..