Na kam hana apetite .....mf.ndug yako hapo akipimwa wing wa dam utaona iko kidogo ...ukimpima homa anayo ..presha anayo ....
Hayo uliyotaja yote ni matokeo ya matumizi ya muda mrefu ya ARVs....matatizo hayo hayasababishwi na HIV....ukitaka kujua hilo fungua karatasi ile ndani ya kikopo cha ARVs kisha uisome...
Tatizo la watu wengi huwa hawapendi kufuatilia mambo haya....wakipata matatizo wanamsingizia HIV bila kujua kwamba matatizo hayo yote yameelezwa kinaga ubaga ndani ya ile karatasi....na hao waliotudanganya wameandika yale matatizo kwa maandishi ambayo wanajua wazi kabisa sisi watu hasa wa dunia ya tatu ni wavivu wa kusoma,hivyo hawana wasiwasi na hilo.