Fausta Michael
Member
- Aug 20, 2016
- 25
- 9
kampun ya bf suma tunavo virutubisho asilia kwa ajili ya kupandisha cd 4 hyo bidhaa inaitwa pure and broken ni 150,000
elimu nzuri mkuu mungu akubariki kweli Kuna umuhimu wa elimu sana wa haya mambo maana Kuna watu wakishaanza kutumia arvs hawakumbuki kwenda kuangalia cd4 tena mpaka wazidiwe sana kikubwa elimu inahitajika sanaMkuu kama CD4 hazipandi kunaweza kukawa na vitu viwili vikuu.
1. Dawa haifanyi kazi vizuri (treatment failure) kitu ambacho katika kliniki yake wanaweza wakagundua.
2. Dawa zinafanya kazi vizuri lakini mgonjwa alianza tiba akiwa na CD4 chache sana. Hivyo immune recovery kwake imekuwa shida.
Hapo kwenye 1 anaweza akabadirishiwa dawa au akasisitizwa utumiaji sahihi wa dawa. Lakini kwenye 2 mgonjwa ataendelea na dawa anazotumia kwani zinafanya kazi.
Cha muhimu kujua ni kutotegemea dawa nje ya ART kukupandishia CD4.
Kula chakula bora, tumia hata hizo supplements ili uwe na afya njema. Lakini issue ya kutumia dawa fulani kwa nia tu ya kupandisha CD4 hiyo haipo.
Tunadanganyana sana na kuibiwa pesa katika upandishaji wa CD4.
hivi vitu ni uongo na ni wizi kwa watanzania sana kwa nn muuza ghali hivikampun ya bf suma tunavo virutubisho asilia kwa ajili ya kupandisha cd 4 hyo bidhaa inaitwa pure and broken ni 150,000
Ndugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula
Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
Mkuu Deception ungemsaidia sasa afanye nini ili ndugu yake apate afya?Kuna uwezekano mkubwa sana huyo ndugu yako atakuwa anatumia ARVs,ARVs ndizo zilizomsababishia matatizo hayo yote na wala si HIV kama anavyosingiziwa.Ukitaka kuamini haya ninayosema fungua karatasi iliyomo ndani ya kikopo cha ARVs anazotumia kisha uisome kwa makini sana utaona kwamba,hayo matatizo yote aliyonayo yameelezewa ndani ya hiyo karatasi.
Waliotudanganya kuhusu HIV/AIDS wametumia akili nyingi sana kiasi cha mtu wa kawaida kushindwa kutambua ukweli ulivyo,hii ni biashara ya watu sana duniani,ninyi hamjui tu.
Sasa nina uhakika pia,ukimpima huyo ndugu yako hapo alipo atakuwa na upungufu wa damu pia,halafu kuna matatizo mengine sitayataja lakini nina uhakika anayo.Sasa ili uthibitishe maneno haya,hebu mchunguze huyo ndugu yako na ulinganishe na haya ninayosema.Sijamwona ndugu yako lakini najua kutokana na uzoefu na ukweli wa haya ninayoongea.
Ni kweli mkuu.elimu nzuri mkuu mungu akubariki kweli Kuna umuhimu wa elimu sana wa haya mambo maana Kuna watu wakishaanza kutumia arvs hawakumbuki kwenda kuangalia cd4 tena mpaka wazidiwe sana kikubwa elimu inahitajika sana
Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
Na kweli wanaiba, maana wanatumia ama ujinga wao au ujinga wa wagonjwa kujinufaisha.hivi vitu ni uongo na ni wizi kwa watanzania sana kwa nn muuza ghali hivi
Kaka Medicine sio politics ya akina Lissu na Mwigulu.Kuna uwezekano mkubwa sana huyo ndugu yako atakuwa anatumia ARVs,ARVs ndizo zilizomsababishia matatizo hayo yote na wala si HIV kama anavyosingiziwa.Ukitaka kuamini haya ninayosema fungua karatasi iliyomo ndani ya kikopo cha ARVs anazotumia kisha uisome kwa makini sana utaona kwamba,hayo matatizo yote aliyonayo yameelezewa ndani ya hiyo karatasi.
Waliotudanganya kuhusu HIV/AIDS wametumia akili nyingi sana kiasi cha mtu wa kawaida kushindwa kutambua ukweli ulivyo,hii ni biashara ya watu sana duniani,ninyi hamjui tu.
Sasa nina uhakika pia,ukimpima huyo ndugu yako hapo alipo atakuwa na upungufu wa damu pia,halafu kuna matatizo mengine sitayataja lakini nina uhakika anayo.Sasa ili uthibitishe maneno haya,hebu mchunguze huyo ndugu yako na ulinganishe na haya ninayosema.Sijamwona ndugu yako lakini najua kutokana na uzoefu na ukweli wa haya ninayoongea.
Ni kweli mkuu.
Kuna vitu vingi sana.
Maana hata hiyo kushuka sana kunakosemwa huwa haiongelewi kwa macho tu, ni calculation.
Ninaweza nikachukua damu yangu hapa nilipo na kuigawanya sehemu mbili na kisha kuiweka kwenye mashine ya kupima CD4 kupitia vichupa viwili tofauti na majibu yasifanane!!! Hivyo katika kupima CD4 count huwa kuna intra-reading na inter-reading variability.
Huwa tunasema absolute CD4 ina significant change kama iko 30% au zaidi kati ya vipimo ulivyofanya. Au kwa wale wanaotumia percentage CD4 count hasa kwa watoto kukiwa na change ya 3 units za percent kati ya kipimo na kipimo.
Mtu anaweza akaja week hii kapima absolute CD5 count ziko 100, akaja miezi sita baadaye zikawa 90. Huwezi sema 90 zimepungua maana hiyo haijafikia 30% change, kwani hata kipimo kilipokuwa 100 yamkini ungerudia kupima muda uleule ungeweza kupata 90.
Mama yangu mdogo anatumia dawa ARV na matunda na fresh juice mno...mbogq za majan ..rosela( vile vitu vya kuongeza dam) kwan kuongeza dam kwan kasi mnno kunapunguza magonjwa nyemelez na kupanda kwa cd4 ..asinywe kahawa kabisa na kama hana apetitwMkuu Deception ungemsaidia sasa afanye nini ili ndugu yake apate afya?
Mkuu wewe ni physician? Maana huwezi uliza swali hili kama uko kwenye club husika.Mnatumia kipimo gani kupima CD4?
Mkuu ondoa wasiwasi,nina uzoefu wa ku deal na mambo haya...hatuendi haraka hivyo...mhusika mwenywewe ndio ana play part kubwa,sio mimi,pia mhusika ndiye alitakiwa kusema hayo.Fahamu kwamba nina uzoefu na mambo haya,ondoa wasiwasi.Mkuu Deception ungemsaidia sasa afanye nini ili ndugu yake apate afya?
Mama yangu mdogo anatumia dawa ARV na matunda na fresh juice mno...mbogq za majan ..rosela( vile vitu vya kuongeza dam) kwan kuongeza dam kwan kasi mnno kunapunguza magonjwa nyemelez na kupanda kwa cd4 ..asinywe kahawa kabisa na kama hana apetitw
Mkuu wewe ni physician? Maana huwezi uliza swali hili kama uko kwenye club husika.
Poleni sana mkuu, ipo dawa ya asili nzuri sana kwa wenye HIV Inaongeza cd4,nguvu na afya mwilini mwa mgonjwa na akiianza hatahitaji tena hizo ARV's tuwasiliane nijue uko wapi na jinsi ya kuipata tafadhari 0656 871878Ndugu yangu wa karibu sana anatatizo la HIV muda mrefu sasa ila tatizo lake CD4 zimeshuka sana zipo 18 na uzito 45 hawez kutembea mwenyewe na pia anasumbua sana kula chakula
Je ni dawa zipi zinaweza ongeza CD4 kwa haraka zaidi?
Mkuu mimi sio mleta thread.Mama yangu mdogo anatumia dawa ARV na matunda na fresh juice mno...mbogq za majan ..rosela( vile vitu vya kuongeza dam) kwan kuongeza dam kwan kasi mnno kunapunguza magonjwa nyemelez na kupanda kwa cd4 ..asinywe kahawa kabisa na kama hana apetitw
Na saiv yuko na 17 yrs yuko poa mno.....ila kuhus kuacha ARV n ngum kidog mana zimeshakuwa kama ulev flan na kinywa usiku hulewa na kulala fofofoMama yako mdogo anaingiza sumu mwilini kwa kula ARVs halafu anaipunguza kwa kula matunda fresh,juisi,mboga za majani na rosela pamoja vitu vya kuongeza damu,ndio maana unamuona ana afya njema....wale wanaokula ARVs bila kufuata hayo masharti hawadumu muda mrefu....ARVs ndio tatizo basi kama hujui,HIV anasingiziwa tu,ndio maana wasiotumia ARVs halafu wakafuata utaratibu mzuri wa maisha wanakuwa na afya njema maisha yao yote hata kama wameambiwa wana HIV....
HIV amepata umaarufu kupitia vipimo feki tu....there is no such a thing HIV in reality.
HIV/AIDS is just a MINDSET disease.Hakuna ugonjwa kama huo kiuhalisia.