Card #1: Ni ya dola - Nilinunua kwa usd 20.
Sina hakika kama bei yake imebadilika au imebakia bei ya awali, Sikuuliza pindi na re_new card ya TSH.
Card #2: Nilinunua kwa tsh 5'000 - imeisha muda wake tangu feb. 2016.
Card #3: Nimeichukua january mwaka huu. Waliniuzia kwa tsh 15'000
NB: Kadi ya dola huwa siitumii, Sababu ni
lazima ufike kwenye tawi lolote la BankABC
ili ufanye Top Up. Huwezi kutumia mobile service. System yao hairuhusu kufanya top up kwa njia ya simu.
Wakati kwa kadi ya TSH waweza fanya top up kwa kutumia Tigo pesa na mpesa - Hivyo hii imekua huduma rafiki kwangu.