Msaada - Jinsi ya kulipia akaunti ya Gmail

Msaada - Jinsi ya kulipia akaunti ya Gmail

Utakuwa umeijaza 'takataka' maana akaunti ya gmail mpaka ijae sio mchezo... Cha kufanya hamisha baadhi ya mafaili humo uyasevu kwenye google drive ili uweze ku free some space. Unless otherwise una pesa ya kuchezea...
 
Utakuwa umeijaza 'takataka' maana akaunti ya gmail mpaka ijae sio mchezo... Cha kufanya hamisha baadhi ya mafaili humo uyasevu kwenye google drive ili uweze ku free some space. Unless otherwise una pesa ya kuchezea...

Gmail kujaa ni easy sana tena ikiwa na vitu vya msingi tu .. Mimi ishanitokea hii Ikabidi nilipie ... Nikupe mfano wa mtu anayepokea reports za mauzo au stock movement Kutoka sales point mbali mbali , report zikiwa mfumo wa excel na zina update kila siku baada ya miezi kadhaa Gmail inajaa ..... !!

Ni suala la kawaida inategemea na wewe unafanya kazi gani au unatumiaje email yako
 
Gmail kujaa ni easy sana tena ikiwa na vitu vya msingi tu .. Mimi ishanitokea hii Ikabidi nilipie ... Nikupe mfano wa mtu anayepokea reports za mauzo au stock movement Kutoka sales point mbali mbali , report zikiwa mfumo wa excel na zina update kila siku baada ya miezi kadhaa Gmail inajaa ..... !!

Ni suala la kawaida inategemea na wewe unafanya kazi gani au unatumiaje email yako
Unajua Gmail akaunt ni kama tumbo la mama, ukisema mama aliyezaa mtoto mmoja na mama aliyezaa watoto kumi kwa nini tumbo lake halikujaa, ni kwa sababu mtoto akishamaliza miezi tisa, anazaliwa na anakuja mwingine. Sasa ukitaka umuhifadhi mtoto milele, tumbo litajaa. Like wise email. Ilie ni chombo cha kupitishia taarifa ila wengine ndio wanataka wafanye storage... Kama vip unanunua external na kusave zile kazi ambazo unazihitaji then gmail yako inakuwa free...
 
Unajua Gmail akaunt ni kama tumbo la mama, ukisema mama aliyezaa mtoto mmoja na mama aliyezaa watoto kumi kwa nini tumbo lake halikujaa, ni kwa sababu mtoto akishamaliza miezi tisa, anazaliwa na anakuja mwingine. Sasa ukitaka umuhifadhi mtoto milele, tumbo litajaa. Like wise email. Ilie ni chombo cha kupitishia taarifa ila wengine ndio wanataka wafanye storage... Kama vip unanunua external na kusave zile kazi ambazo unazihitaji then gmail yako inakuwa free...

Huwezi ku save kwenye external na zikawa reliable ,, Kwa mfano niliokupa na Kwa business context email zinakuwa Kama evidence ,, siyo vizuri ku delete au ku manipulate business email Kwa sababu hatuaminiani .. Ndo maana hata file hard copy huwa hazitupwi mpaka ufike mda flan vivyo hivo Kwa email .... Watu wa finance /procurement / sales etc wanajua hili ..
Mtu anaweza kukugeuka anytime na usimfanye chochote maana huna evidence ya ku refer but Kama email zipo ni easy sana .

Hii ni sababu mojawapo Kwa nn makampuni binafsi yanatumia outlook /email na server zao ...
 
Mkuu unaweza kusaidia keeleza hatua kwa hata toka kulipia visa card mpaka kufanya malipo online?
mkuu unaenda tu bancABC waambie unataka visa card jaza fomu utapewa kadi yako ieke salio nenda website unayotaka kununua kitu jaza detail husika halafu nunua. si ngumu kabisa anza process za kutafuta visa card kwanza hayo mengine yatakuja taratibu
 
mkuu unaenda tu bancABC waambie unataka visa card jaza fomu utapewa kadi yako ieke salio nenda website unayotaka kununua kitu jaza detail husika halafu nunua. si ngumu kabisa anza process za kutafuta visa card kwanza hayo mengine yatakuja taratibu
Shukrani mkuu, mpaka hapo nimekusoma.
 
Asante kaka, ni bancABC peke yake tu au pia kuna benki zingne? nauliza hivi kwa sababu nipo mkoani ambako hakuna hilo tawi la bancABC.

BancABC wanakutumia kadi yako sehemu yeyote Tanzania wapigie wakupe maelezo kwa namba 255 22 2180212, 2180182, 2180108
 
Inategemea na sera za benki unayotumia.

Mimi ilitumia wiki 2.
Unatumia bank gani ndugu? Mimi ninatumia CRDB,ninakumbuka it was July 2013 nilinunua product flani hivi Ebay via Paypal,ikaibiwa Kenya.So,seller alijaribu ku-refund system ikagoma.So,the only option we had ilimbidi seller atume tena product nyingine.Mpaka sasa CRDB hata ukinunua kitu kwa kutumia Debit Card then mambo yakienda sivyo hawana automatic refund mpaka upige trips za kutosha kwenda Kwenye matawi yao with printed evidence(japo ninaridhika na baadhi ya huduma zao).Vipi mwenzetu watumia Bank gani inayoruhusu direct refund from PayPal? tujuze kidogo ndugu.
 
Unatumia bank gani ndugu? Mimi ninatumia CRDB,ninakumbuka it was July 2013 nilinunua product flani hivi Ebay via Paypal,ikaibiwa Kenya.So,seller alijaribu ku-refund system ikagoma.So,the only option we had ilimbidi seller atume tena product nyingine.Mpaka sasa CRDB hata ukinunua kitu kwa kutumia Debit Card then mambo yakienda sivyo hawana automatic refund mpaka upige trips za kutosha kwenda Kwenye matawi yao with printed evidence(japo ninaridhika na baadhi ya huduma zao).Vipi mwenzetu watumia Bank gani inayoruhusu direct refund from PayPal? tujuze kidogo ndugu.

Mimi nilitumia Amazon ila kwa CRDB hiyohiyo.
 
Huwezi ku save kwenye external na zikawa reliable ,, Kwa mfano niliokupa na Kwa business context email zinakuwa Kama evidence ,, siyo vizuri ku delete au ku manipulate business email Kwa sababu hatuaminiani .. Ndo maana hata file hard copy huwa hazitupwi mpaka ufike mda flan vivyo hivo Kwa email .... Watu wa finance /procurement / sales etc wanajua hili ..
Mtu anaweza kukugeuka anytime na usimfanye chochote maana huna evidence ya ku refer but Kama email zipo ni easy sana .

Hii ni sababu mojawapo Kwa nn makampuni binafsi yanatumia outlook /email na server zao ...
Kama sisi organization yetu tunatumia outlook. Email za gmail na yahoo ni nadra sana.
 
cards.jpg

Card #1: Ni ya dola - Nilinunua kwa usd 20. Sina hakika kama bei yake imebadilika au imebakia bei ya awali, Sikuuliza pindi na re_new card ya TSH.

Card #2: Nilinunua kwa tsh 5'000 - imeisha muda wake tangu feb. 2016.

Card #3: Nimeichukua january mwaka huu. Waliniuzia kwa tsh 15'000

NB: Kadi ya dola huwa siitumii, Sababu ni lazima ufike kwenye tawi lolote la BankABC ili ufanye Top Up. Huwezi kutumia mobile service. System yao hairuhusu kufanya top up kwa njia ya simu.

Wakati kwa kadi ya TSH waweza fanya top up kwa kutumia Tigo pesa na mpesa - Hivyo hii imekua huduma rafiki kwangu.

Asante kwa maelezo yako.Nimefanikiwa kupata Cash Card yangu kutoka BankABC na nimeshalink na Paypal na kufanya manunuzi online.Kwa kweli hii Card ni nzuri sana hasa kujaza salio kwa MPESA.
 
Asante kwa maelezo yako.Nimefanikiwa kupata Cash Card yangu kutoka BankABC na nimeshalink na Paypal na kufanya manunuzi online.Kwa kweli hii Card ni nzuri sana hasa kujaza salio kwa MPESA.
Ahsante kwa mrejesho.
 
Signup Gmail account nyingine, configure ya zamani iwe ina forward emails kwenye account mpya, configure account mpya iwe inatuma au kujibu on behalf of account ya zamani, haina haja ya kulipia, simply that.

Nimewahi mfanyia mtu hii kitu na anatumia emails zake kama zamani, ila ameonngeza space ya kupokea...
 
Wanakata yote. Hakuna salio wanalo rudisha.
Wanakata yote. Hakuna salio wanalo rudisha.
habari yako mkuu, samahani kwa usumbufu jana tar 08/12/2016 nimetoka kuchukua visa card ya bank ABC nimeweka na kama 30000 hivi wakanambia baada ya masaa mawili naweza kutumia ila mpaka sasa masaa 24 ina goma ku link na paypal wanasema "This card cannot be used please use another card".
vip wew uli fanyaje had ika kubali??. samahani kwa usumbufu mkuu nahitaji msaada wako.thanx
 
habari yako mkuu, samahani kwa usumbufu jana tar 08/12/2016 nimetoka kuchukua visa card ya bank ABC nimeweka na kama 30000 hivi wakanambia baada ya masaa mawili naweza kutumia ila mpaka sasa masaa 24 ina goma ku link na paypal wanasema "This card cannot be used please use another card".
vip wew uli fanyaje had ika kubali??. samahani kwa usumbufu mkuu nahitaji msaada wako.thanx
Binafsi sikufanikiwa kabisa kupata maana niko mkoani na huku hakuna tawi la Banc ABC ambao ndio wanatoa hizo kadi
 
visa card ya bank ABC nimeweka na kama 30000 hivi wakanambia baada ya masaa mawili naweza kutumia ila mpaka sasa masaa 24 ina goma ku link na paypal wanasema "This card cannot be used please use another card".
Pindi uchukuapo kadi mhudumu atakwambia iko tayari kwa matumizi.

Ila kimsingi huwa bado hawajafanyia activation upande wa online transaction

Hivyo rudi kwenye tawi husika waeleze kuwa unashindwa kufanya transaction, Watachukua kadi yako na watafanya mawasiliano na kitengo husika.

Baada ya dakika chache utarudishiwa kadi na itakuwa tayari kwa matumizi.

Kwa kujiridhisha jaribu kui_add kadi paypal ukiwa bado hujaondoka.

Ni uzembe wao kutokamilisha taratibu zote awali pindi unakabidhiwa kadi, ukizingatia ulishaomba wafanyie activation online transaction.
 
Binafsi sikufanikiwa kabisa kupata maana niko mkoani na huku hakuna tawi la Banc ABC ambao ndio wanatoa hizo kadi
Si lazima iwe BankABC.
Waweza tumia Equity / CRDB / UBA / etl
Angalia ni benk ipi ipo eneo husika , nenda kaulize huduma
 
Back
Top Bottom