Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
😂😂😍Imeishaaa hiyooo.
Kasie ulikuwa na bado chuma
😂😂😍Imeishaaa hiyooo.
Kasie ulikuwa na bado chuma
Kasie matata
Iyo mbona unaruhusiwa mkuu, unalipia elfu 20 then wanakupiga picha upya.Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?
Umeamua kutunyooshaAaabeeeehhhhh....
Umeamua kutunyoosha
Wala hujakosea, tumebaki tu kuangaza machoAahahahhaahhahaaaa
Nisamehe buree afandeeeee .......🤣🤣🤣🤣🤣
Kitumbukize kwenye maikrowevu weka joto la kati pasha kwa dakika 50 toa tumbukiza kwenye jiki kwa dakika 10, kitakuwa tayari.Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?
Umesomeka kasomekoKitumbukize kwenye maikrowevu weka joto la kati pasha kwa dakika 50 toa tumbukiza kwenye jiki kwa dakika 10, kitakuwa tayari.
Wala hujakosea, tumebaki tu kuangaza macho
Kitambulisho changu nime renew nimepata leo baada ya miaka miwili kuisha.Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?