Shida sio connection mkuuHizi simu za goroka / batani wanauza kwa katoni ndo kitonga ila pcs utaumizwa bei.
Watz ni wagumu sana kutoa connection za nje China na Dubai wanapo chukua kwa mafungu
Yaap ni kweli afate ushauri huu, aombe mtu amunganishe na Agent DSM kama ni techno, itel wapo DSM, awe na mtaji tu wa kuchukua box nzima/ caton.Shida sio connection mkuu
Kwa mawazo yangu naona mtoa uzi na watu wengi wanaotaka u argent kwa bei walizotaja bado hawana uzoefu wa kutosha kwenye biashara hiyo hivyo wanapaswa kwanza kuunganishwa na ma argent wa Tanzania ili wapate mizigo kwa bei nzuri na uzoefu kabla ya ku jump kwenye u argent
Kwanza kabisa unapaswa kujua hizi simu za tecno, infinix na itel zinatengenezwa China lakini haziuzwi China.
Yani ni simu ndogo, za kiwango cha chini zinatengenezwa na kutoka viwandani direct to Africa
Huwezi kukuta itel, tecno, infinix inauzwa dukani China.
Hivyo basi ni lazima unununue kiwandani
Ili ununue simu hizo kiwandani unatakiwa uwe argent.
Ili uwe argent unatakiwa utimize vigezo pamoja na mengine ni
Kwanza ;Kuwa na mtaji 500Ml - 1B kutegemea na kampuni husika.
Pili; kuwa/ kupendekeza kanda mkoa ambao unataka kuhudumia (kama kuna argent mwingine kanda/mkoa huo unaweza usipewe)
Tatu; Uwezo wa kuuza wateja wako/ uwezo wako wa kuuza na kuagiza mzigo ukoje.
Ni muhimu kufahamiana na ma argent kwasababu hao ndio wenye uwezo wa kukuunganisha na huwa wana vikao vyao na makampuni husika mara kwa mara.
Wenye ujuzi zaidi wanaweza kunirekebisha au kuongezea uzoefu.
Hii ndio ilitakiwa kuwa comment ya kwanza kabisa. Asante sana chief. Tumepokea, tunaahidi na tutatekeleza.Shida sio connection mkuu
Kwa mawazo yangu naona mtoa uzi na watu wengi wanaotaka u argent kwa bei walizotaja bado hawana uzoefu wa kutosha kwenye biashara hiyo hivyo wanapaswa kwanza kuunganishwa na ma argent wa Tanzania ili wapate mizigo kwa bei nzuri na uzoefu kabla ya ku jump kwenye u argent
Kwanza kabisa unapaswa kujua hizi simu za tecno, infinix na itel zinatengenezwa China lakini haziuzwi China.
Yani ni simu ndogo, za kiwango cha chini zinatengenezwa na kutoka viwandani direct to Africa
Huwezi kukuta itel, tecno, infinix inauzwa dukani China.
Hivyo basi ni lazima unununue kiwandani
Ili ununue simu hizo kiwandani unatakiwa uwe argent.
Ili uwe argent unatakiwa utimize vigezo pamoja na mengine ni
Kwanza ;Kuwa na mtaji 500Ml - 1B kutegemea na kampuni husika.
Pili; kuwa/ kupendekeza kanda mkoa ambao unataka kuhudumia (kama kuna argent mwingine kanda/mkoa huo unaweza usipewe)
Tatu; Uwezo wa kuuza wateja wako/ uwezo wako wa kuuza na kuagiza mzigo ukoje.
Ni muhimu kufahamiana na ma argent kwasababu hao ndio wenye uwezo wa kukuunganisha na huwa wana vikao vyao na makampuni husika mara kwa mara.
Wenye ujuzi zaidi wanaweza kunirekebisha au kuongezea uzoefu.
awe na mtaji tu wa kuchukua box nzima/ caton.
Shida sio connection mkuu
Kwa mawazo yangu naona mtoa uzi na watu wengi wanaotaka u argent kwa bei walizotaja bado hawana uzoefu wa kutosha kwenye biashara hiyo hivyo wanapaswa kwanza kuunganishwa na ma argent wa Tanzania ili wapate mizigo kwa bei nzuri na uzoefu kabla ya ku jump kwenye u argent
Kwanza kabisa unapaswa kujua hizi simu za tecno, infinix na itel zinatengenezwa China lakini haziuzwi China.
Yani ni simu ndogo, za kiwango cha chini zinatengenezwa na kutoka viwandani direct to Africa
Huwezi kukuta itel, tecno, infinix inauzwa dukani China.
Hivyo basi ni lazima unununue kiwandani
Ili ununue simu hizo kiwandani unatakiwa uwe argent.
Ili uwe argent unatakiwa utimize vigezo pamoja na mengine ni
Kwanza ;Kuwa na mtaji 500Ml - 1B kutegemea na kampuni husika.
Pili; kuwa/ kupendekeza kanda mkoa ambao unataka kuhudumia (kama kuna argent mwingine kanda/mkoa huo unaweza usipewe)
Tatu; Uwezo wa kuuza wateja wako/ uwezo wako wa kuuza na kuagiza mzigo ukoje.
Ni muhimu kufahamiana na ma argent kwasababu hao ndio wenye uwezo wa kukuunganisha na huwa wana vikao vyao na makampuni husika mara kwa mara.
Wenye ujuzi zaidi wanaweza kunirekebisha au kuongezea uzoefu.
Inategemea na aina ya simu.Caton ni pcs ngapi?
Kwa mfano Carton ya INFINIX HOT 10 ambazo ni pcs 20,Inategemea na aina ya simu.
Carton ya
itel 2160 zinakaa pc 60
Itel 5081 pc 40
Tecno 528 pc 80
Tecno 301 pc 120
Smart phone karibu zote zinakaa 20
kwenye Carton.
Hot 10 zipo aina 5Kwa mfano Carton ya INFINIX HOT 10 ambazo ni pcs 20,
Yauzwa Sh. ngapi?
Ndio bossHizi ni bei za jumla au?
Kumbe !Shida sio connection mkuu
Kwa mawazo yangu naona mtoa uzi na watu wengi wanaotaka u argent kwa bei walizotaja bado hawana uzoefu wa kutosha kwenye biashara hiyo hivyo wanapaswa kwanza kuunganishwa na ma argent wa Tanzania ili wapate mizigo kwa bei nzuri na uzoefu kabla ya ku jump kwenye u argent
Kwanza kabisa unapaswa kujua hizi simu za tecno, infinix na itel zinatengenezwa China lakini haziuzwi China.
Yani ni simu ndogo, za kiwango cha chini zinatengenezwa na kutoka viwandani direct to Africa
Huwezi kukuta itel, tecno, infinix inauzwa dukani China.
Hivyo basi ni lazima unununue kiwandani
Ili ununue simu hizo kiwandani unatakiwa uwe argent.
Ili uwe argent unatakiwa utimize vigezo pamoja na mengine ni
Kwanza ;Kuwa na mtaji 500Ml - 1B kutegemea na kampuni husika.
Pili; kuwa/ kupendekeza kanda mkoa ambao unataka kuhudumia (kama kuna argent mwingine kanda/mkoa huo unaweza usipewe)
Tatu; Uwezo wa kuuza wateja wako/ uwezo wako wa kuuza na kuagiza mzigo ukoje.
Ni muhimu kufahamiana na ma argent kwasababu hao ndio wenye uwezo wa kukuunganisha na huwa wana vikao vyao na makampuni husika mara kwa mara.
Wenye ujuzi zaidi wanaweza kunirekebisha au kuongezea uzoefu.
Njia zote zinatumika mkuu,Hivi namna ya kuzisafirisha hizi Simu ipoje? Ni meli au Ndege?