Vipi bei ya Arusha mkuu hasa memorycards 128mbMkuu unapigwa hizi hapa bei ya Dodoma
Itel 2160 _16500
Tecno
301 _21500
313 _25500
474_35000
351_26500
528_42000
Sasa mkuu kama dodoma ndo bei hiyo jumla kwa dar naamini itakuwa chini kidogo ila ijumaa naenda dar toka dom nampango wa kwenda kununua simu na tv za jumla ndakupa mrejesho