Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 523



Zuri kwangu sio lazima liwe zuri kwako nyie chagueni jina mnalopenda mbn Jambo dogo Sana?Habari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo lipi zuri kati ya haya manne tunaomba mtuchagulie moja zuri kuzidi mengine, majina tuliyopendekeza ni Prince, Jaden, lucious, na jaydan. Tunaomba mtuchagulie lipi lipite Kati ya haya na Mungu awabariki sana kwa ushirikiano wenu.
Kwaiyo na ninyi mnataka muendeleze huo udelicious wake sio!?Tatizo mtoto mwenyewe amekaa kidelicious
hao ni wadangaji mkuu, wamekwapua mimba huko hata hawajui waliko ikwapua.Hawajielewi hao. Kuanzia baba wa mtoto na mama yake.
Chukua ayo majina alaf ufanye ka unamuita x3 kwa kila jina utakalo muita akatabasam bas mpeni hilo hiloHabari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo lipi zuri kati ya haya manne tunaomba mtuchagulie moja zuri kuzidi mengine, majina tuliyopendekeza ni Prince, Jaden, lucious, na jaydan. Tunaomba mtuchagulie lipi lipite Kati ya haya na Mungu awabariki sana kwa ushirikiano wenu.
Kwani mtoto ni mnyakyusa?Chodofya,,tuntufye,,
Inatokea asee unachanganyikana hadi unashindwa kufanya maamuzi....hata mimi nlikua nauliza watu nimuite nani mwanangu 😁, nlikua nakusanya maoniYan unabeba mimba miez 9 had unajifungua ujajua tu mtoto utamuita nani kweli!?
Hahahahaha jamani jf raha sana Leo nmecheka sana, mtoto siyo mzungu Ila mama yake anapenda mambo ya kizunguMbona majina yote ya kizungu, mtoto ni mzungu?
Asante sana ilo jayson limekaa pouwaMuite “Jayson”
Jayson means “to heal”.
Au Godson...very simple and good name
Ni ngumu sana kuchangua jina la mwanao, lakini hayo majina mlopendekeza achanen nayo
Mnipe pia shukrani sasa..navyowajua mtamuita Jayson
Aise Pole sana ukipata mwingne tena muite hilo jina.Inatokea asee unachanganyikana hadi unashindwa kufanya maamuzi....hata mimi nlikua nauliza watu nimuite nani mwanangu 😁, nlikua nakusanya maoni
Ramona (mona) au Raniah, bahati mbaya hata hajaitwa hayo, Ramona lilikua jina la ndoto yangu
Ahsante sana, nshafunga hesabu 😁Aise Pole sana ukipata mwingne tena muite hilo jina.