Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,933
- 13,944
Aisee!!! Huwa kuna vile vya bahati mbaya mtoto wa kwanza yupo form 4 mama mimba hyoAhsante sana, nshafunga hesabu 😁
Aisee!!! Huwa kuna vile vya bahati mbaya mtoto wa kwanza yupo form 4 mama mimba hyoAhsante sana, nshafunga hesabu 😁
😂😂😂Naomba kasije kabisa ka dizaini hiyoAisee!!! Huwa kuna vile vya bahati mbaya mtoto wa kwanza yupo form 4 mama mimba hyo
Habari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo lipi zuri kati ya haya manne tunaomba mtuchagulie moja zuri kuzidi mengine, majina tuliyopendekeza ni Prince, Jaden, lucious, na jaydan. Tunaomba mtuchagulie lipi lipite Kati ya haya na Mungu awabariki sana kwa ushirikiano wenu.
Mbaya zaidi utakuta ndiye mama ake. Bure kabisa.Je unafahamu maana ya hiki ulichokiandika!
Weee acha kuwasehemu y MabeberuuHabari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo lipi zuri kati ya haya manne tunaomba mtuchagulie moja zuri kuzidi mengine, majina tuliyopendekeza ni Prince, Jaden, lucious, na jaydan. Tunaomba mtuchagulie lipi lipite Kati ya haya na Mungu awabariki sana kwa ushirikiano wenu.
Kama baba ake akiruhusu majina kama haya aitwe mtoto wake basi atakua amehisi huyo sio mtoto wake... ndio maana anaamua liwalo na liwe.Asante sana ngoja tusubiri na wengine den tupige kura ikitokea likapendwa na wengi tunamwita Jaydan
Jaman Ramona lilikuwa zuri sana very unique kwanini hukumuita Ramona jamaniInatokea asee unachanganyikana hadi unashindwa kufanya maamuzi....hata mimi nlikua nauliza watu nimuite nani mwanangu, nlikua nakusanya maoni
Ramona (mona) au Raniah, bahati mbaya hata hajaitwa hayo, Ramona lilikua jina la ndoto yangu
Ila hapo naanza kuelewa, yaani nisikie mtoto wangu eti umempa jina umeenda kuuliza mitandaoni, nitakupa kisago hadi ujambe..hao ni wadangaji mkuu, wamekwapua mimba huko hata hawajui waliko ikwapua.
Kwahiyo hapo hakuna baba, labda baba wa kuchora.
Atakua amelitoa kwenye series ya empire.hapo kwa lucious mmenikosha
Majina yetu ni matatio, matata, masumbuko, mateso, masanja, cheusi, shida, Mwaju n.kHahahahaha jamani jf raha sana Leo nmecheka sana, mtoto siyo mzungu Ila mama yake anapenda mambo ya kizungu
Huwa vinajipenyeza tu bila taarifa😂😂😂Naomba kasije kabisa ka dizaini hiyo
bila kuja huku nisingejua maana ya jina Jaden Ila kupitia jf leo nimejua maana yake,
Yani ni zuri kwakweli, basi baba alikuja na lake nalo zuri ikabidi apewe la baba...ila wakati yupo tumboni nlikua namuita mona 😂😂Jaman Ramona lilikuwa zuri sana very unique kwanini hukumuita Ramona jamani
Yani nyie jamani majina mazuri mnayapiga vita hivi mnataka nini au ndomshazoea majina Kama Kadada, chausiku, shida, tabu Yani mnanipa kichaaKama baba ake akiruhusu majina kama haya aitwe mtoto wake basi atakua amehisi huyo sio mtoto wake... ndio maana anaamua liwalo na liwe.
Ndio kizazi cha kisasa! Tusipokua makini tutakua na taifa bovu sana huko mbeleni.Yan unabeba mimba miez 9 had unajifungua ujajua tu mtoto utamuita nani kweli!?
Kama wewe ndio mama wa huyo na kama baba akiwa legelege basi namuonea huruma huyo mtoto.Yani nyie jamani majina mazuri mnayapiga vita hivi mnataka nini au ndomshazoea majina Kama Kadada, chausiku, shida, tabu Yani mnanipa kichaa
Njoo nikupunguzie.Punguza makasiriko
Asante kipenziJaden ni zuri "Mungu amesikia"
Mengine pia
Caleb/Kaleb_ "devotion to God"
Ari-"Lion of God"
Hongereni Mungu awatunze kijana wenu.