Asante sana ngoja mwishoni tutapiga kura tuone lipi limependwa zaidi Kama likiwa prince tutamwita prince
sawa dada
Asante sana ngoja mwishoni tutapiga kura tuone lipi limependwa zaidi Kama likiwa prince tutamwita prince
Maana yake ndoimenifurahisha zaidi, maana mtoto mwenyewe kapatikana kwa maombiBasi litafaa
sikuaga najua maana akee ila nikisikiaga hilo jina basi nareflect yule Jaden wa will smith![]()
nikajua mayb ndo their rolimodo
Asante sana ngoja tusubiri na wengine den tupige kura ikitokea likapendwa na wengi tunamwita Jaydan
Utoto pro max
#NoHardFeeling
Me mwenyewe naona wananizingua tu na majina yao ya kijunior junior
jinaa zuriAsante sana na Lina maana zuri sana
Me mwenyewe naona wananizingua tu na majina yao ya kijunior junior
acha fikra za kitumwa Jamani majina tumetafuta sisi tumependa majina manne ndomana nimeomba msaada tuchaguliwe moja zuri ili tusikie na maoni ya watu kwenye wengi Kuna mengi bila kuja huku nisingejua maana ya jina Jaden Ila kupitia jf leo nimejua maana yake, alafu nimeomba tu msaada mbona watu wenye upendo wananisaidia kuchagua wewe Kama huna jina ulilopenda pita hivi au kaa kimya siyo lazima unichagulie tusichoshane, watu wengine bwana mnapenda tu kuchafua uzi za watu hivi mpoje????!!!!!Imagine mtu anatafuta jina la mtoto kwa kura za wanaJF![]()
Jamani majina tumetafuta sisi tumependa majina manne ndomana nimeomba msaada tuchaguliwe moja zuri ili tusikie na maoni ya watu kwenye wengi Kuna mengi bila kuja huku nisingejua maana ya jina Jaden Ila kupitia jf leo nimejua maana yake, alafu nimeomba tu msaada mbona watu wenye upendo wananisaidia kuchagua wewe Kama huna jina ulilopenda pita hivi au kaa kimya siyo lazima unichagulie tusichoshane, watu wengine bwana mnapenda tu kuchafua uzi za watu hivi mpoje????!!!!!
KWANINI UTUMIE MAJINA YA KIZUNGUacha fikra za kitumwa
Mwite hata jina majani tanayokuzunguka au wadudu au hata mpe majina ya mboga za majani.....
Hawajielewi hao. Kuanzia baba wa mtoto na mama yake.Nimemind aisee kuona mtoto wa kiume anaenda kuitwa majina ya kindezi hayo, hata kama ni majina ya kiingereza mbona yapo yanayo sound ki masculine zaidi, etii lucious daah
Mtoto wanampa jina utadhani wamem downloadHawajielewi hao. Kuanzia baba wa mtoto na mama yake.
Wait...what...??Tatizo mtoto mwenyewe amekaa kidelicious
Eti wamekaa wakapitishaMtoto wanampa jina utadhani wamem dawnload

Kumar ni jina zuri la kihindi muite hilo mkuuHabari zenu? Poleni na majukumu ya kila siku, dada yangu kapata mtoto wa kiume sasa tunatafuta jina zuri tunaomba mtushauri lipi zuri kati ya haya maana tumependekeza haya sasa tumekosa msimamo lipi zuri kati ya haya manne tunaomba mtuchagulie moja zuri kuzidi mengine, majina tuliyopendekeza ni Prince, Jaden, lucious, na jaydan. Tunaomba mtuchagulie lipi lipite Kati ya haya na Mungu awabariki sana kwa ushirikiano wenu.
Ni hatari sanaEti wamekaa wakapitisha
Yani tuko nyakati mbaya sana