Costa concodia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2014
- 209
- 48
Habari zenu wakuu. Nina jiko la gesi linatoa masinzi sana kwenye sufuria. Nikibandika sufuria nikaweka moto mkubwa kidodo, sufuria huwa nyeusi sana kwa masinzi. Naamini kuna tatizo mahali kwani mwanzo haikuwa hivi. Kama kuna mwenye suluhisho la hili tatizo naomba anipe msaada.
Barner yako itakuwa imechoka nadhani hayo masizi ni uchafu wa kutu au uchafu ulioziba kwenye vitundu vya kupitishia moto.