tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Khaa!! Chief hiyo flame uliyonayo tayari ni luminous flame ndiyo maana inatoa moshi. Hii ndiyo sifa ya luminous flame. Nadhani unahitaji non luminous flame ili isiwe na moshi pia itoe joto kubwa. Ni rahisi kufanya hivyo kwa kuongeza kiasi cha gesi ya oksijeni katika flame. Na hii inafanyika kwa kufungua vidirisha vya hewa vilivyochini karibu na valvu za kufungulia hewa katika jiko lako. Fungua taratibu hadi usikie flame imeanza kutoa kelele. Hii ni sayansi niliyofundishwa darasa la sita :mvutaji:
mkuu asante nimeshasolve!!