ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,139
- 17,612
Moto wa gesi unapotoa moshi ni kwasababu ya incomplete combustion - supply ya oxygen sio nzuri kwenye burner.
Kazi ya hiyo valve ni kucontrol flow of oxygen kwenda kwenye burner. Inaziba vitundu viwili kama inavyoonekana.
Ushauri wangu ni ujaribu kuzungusha hiyo valve mpaka pale ambabo vitundu vyote vitakuwa wazi kabisa.
Kazi ya hiyo valve ni kucontrol flow of oxygen kwenda kwenye burner. Inaziba vitundu viwili kama inavyoonekana.
Ushauri wangu ni ujaribu kuzungusha hiyo valve mpaka pale ambabo vitundu vyote vitakuwa wazi kabisa.