binti mapozi
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 128
- 111
Dah pole sana mkuu...tumia hizo mkuu kisha utanipa mrejeshoMkuu nimekwenda hapa kwa Father babu nimimepim kila kitu daktari ananiambia ajaona kitu ameniandika dawa ila ktk hizo dawa zipo ulizoniambia jana[albendazol] nimeona ninywe hizi ulizo niambia mkuu zingine naona wamenipiga tu!Mtaka sasa nishakula mara nne hii ni hatari
Hata mimi nilikuwa,mtu wa V.RBa sana arusha mixer makaliii. Na nilikuwa mvivu kuzingatia msosisasa unauliza majibu chalii na hii baridi ya meru unaachaje sasa K-vant lazima
Hii ni hali ya kawaida kwa hizi dawa mlizopewa wakati huu. Side effect yake mojawapo ni kuumwa njaaWajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Ngoja nikikumbuka mkuu iko poa sana.Mkuu unaweza kunitumia jina la dawa jioni neende kwa macho ya paka pale mjengo ya chini nikachukue dawa!mtu nakula zaidi ya mara 6 maji natamani ata nihamie mto themi pale lita moja napiga mara 1 tu natupa chupa kule
mie msoso ni kila kitu mkuu mambogamboga yote ya themi usiulize ugali mkubwa tu likn hali iliojitokeza sio poa mkuu mpaka washaji wananion zombi jana nilikula ugali mara 3 mchana uoni ni danger hiyo!Hata mimi nilikuwa,mtu wa V.RBa sana arusha mixer makaliii. Na nilikuwa mvivu kuzingatia msosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingi.Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Sijawahi tumia sigara wala mjani mkuuSwali la msingi.
Unavuta bangi?
Nashukuru ila kama minyoo ata wife ananishangaa maana tukianza kupiga show lazima kuwe na mapumziko ya bila kufunguna!yani kwa wastani ninamabadiliko ktk mwili wangu nataka nijichange niende seliani hospitali naweza pata ushauri!ila dawa za mdau mmja humu nimeanza leo kuzipigaMinyoo waliokubuhu ,tafuta maabara nzuri kapime , tumia dawa kulingana na maagizo ya daktari
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo Albendazol sio za kunywa !! Unatakiwa utafune sijui kumung'unya asubui kabla hujala chochoteWajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Vp ikitafuta usiku Massa 3-4 baada ya kula..?Izo Albendazol sio za kunywa !! Unatakiwa utafune sijui kumung'unya asubui kabla hujala chochote
Sent using Jamii Forums mobile app