sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 355
- Thread starter
- #21
Mkuu uko pande zipi RUko yente dingii. Mimi tokea jana sijagusa kitu nipo nawaza niende kwanani angalau wanipe hata nguna nile.
Mkuu uko pande zipi RUko yente dingii. Mimi tokea jana sijagusa kitu nipo nawaza niende kwanani angalau wanipe hata nguna nile.
Huwenada una minyooo au una mapepoWajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Dx, Pdx???? DMUzito-68
Umri-38
Shughuli-muda mwingi nakua kibaruani ila cha kukaa ktk kiti kwa muda mwingi
Maji-mpaka sasa nashapiga lita 4 na ushee nasikia kiu kilawakati ikimbatana na njaa kali
Kukojoa-usiku sio sana mara 2 azidi hapo mkuu
Mkuu nimekwenda hapa kwa Father babu nimimepim kila kitu daktari ananiambia ajaona kitu ameniandika dawa ila ktk hizo dawa zipo ulizoniambia jana[albendazol] nimeona ninywe hizi ulizo niambia mkuu zingine naona wamenipiga tu!Mtaka sasa nishakula mara nne hii ni hatariTafta kitu kinaitwa "albendazol"
Hakikisha alfajiri kabla hujapiga mswaki unamumunya vidonge viwili. Ukishatumia dose 1 urudi kuleta feedback baada ya siku 3.
minyoo kwa nini isionekane hospitali mkuu!Minyoo hiyo
minyoo kwa nini isionekane hospitali mkuu!
nimepima haja ndogo na kubwa nimepima blood presure sukari iko sawa mpaka dokta akawa ananishangaaKwa hiyo hospital ulienda kupima ndo wamekupa majibu kuwa hauna minyoo?
nile tunda gani mkuu mbona sikusomi
nimepima haja ndogo na kubwa nimepima blood presure sukari iko sawa mpaka dokta akawa ananishangaa
Unakunywaa pombe kaliiiWajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Hii halii iliwakunitokea nilipelekwa hosp nikapimwa wakakuta nina tatizo la digest system.Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
sio wote mkuu punguza munkari wa maneno mingiWameru wanakula Sana bangi,inaweza kuwa kichocheo Cha kula sana
Mkuu ndio mpaka nikiwa job sasa si hatari hiyo ata mshana bwashee wangu lkn atoi mchango !Nahisi jirani yako atakuwa anaiachia misukule yake kila siku ije kula kwako una share nayo sahani ya chakula
sasa unauliza majibu chalii na hii baridi ya meru unaachaje sasa K-vant lazima
Nakushauri uweze kwenda hospitali, kuna uwezekano ikawa ni dalili za kisukari. Nenda hospitali mkuu upate kufanyiwa vipimo muhimu na kupatiwa tiba na/au ushauri kulingana na majibu ya vipimoUzito-68
Umri-38
Shughuli-muda mwingi nakua kibaruani ila cha kukaa ktk kiti kwa muda mwingi
Maji-mpaka sasa nashapiga lita 4 na ushee nasikia kiu kilawakati ikimbatana na njaa kali
Kukojoa-usiku sio sana mara 2 azidi hapo mkuu
Mkuu unaweza kunitumia jina la dawa jioni neende kwa macho ya paka pale mjengo ya chini nikachukue dawa!mtu nakula zaidi ya mara 6 maji natamani ata nihamie mto themi pale lita moja napiga mara 1 tu natupa chupa kuleHii halii iliwakunitokea nilipelekwa hosp nikapimwa wakakuta nina tatizo la digest system.
Maana nilikuwa ni kula lakini kiukwelii nilikuwa nasikia njaa baada ya dakika na hata nile vizuri vipi shida iko pale pale. Nili pungua ndani ya week ila baada ya kupata dawa nilikuwa poa sana na week moja afya ikarudi nikawa ni kila hali inakaa sawa nashiba vizurii tu.
Na ndo ugonjwa ukafia hapooo
Sent using Jamii Forums mobile app