Kwa takribani siku ya tatu nahisi njaa muda mfupi baada ya kula. Huwa nakula mara tatu Kwa siku, lakini Hali ya Sasa hivi inanipa wasi wasi hasa ni nini nakosa katika Milo ninayokula Kila siku?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.