Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Joined
Apr 4, 2014
Posts
55
Reaction score
6
Jamani naombeni mnishauri kuna msichana mzuri ameamia mtaani kwetu na huwa anakuja kuchota maji nyumbani tatizo nashindwa kumwambia naombeni ushauri wenu wana j.f
 
Jamani naombeni mnishauri kuna msichana mzuri ameamia mtaani kwetu na huwa anakuja kuchota maji nyumbani tatizo nashindwa kumwambia naombeni ushauri wenu wana j.f

Umri wako ni miaka kumi na ngapi?
 
Unashindwa kumwambia nini?

Maana hata hapa umeshindwa kutueleza unachotaka kumwambia zaidi ya kutueleza kuwa ni msichana mzuri...
 
U gotta lov jf aisee.
hebu soma kwanza, umri ukifika shuleni mtafundishwa jinsi ya kumwambia
 
Andika barua ya kurasa tatu halaf nenda kwa balozi wako akugongee mhuri,halaf nenda kwa wakili aithibitishe,mwisho rudisha kwa mtendaji wa kata baada ya hapo balozi ataagizwa amtafute huyo msichana amweleze shida yako kilaini!..loading error....
 
dah,hawa watoto huku ni tatizo,embu kasome kwanza totoo...
 
kumwambia kama nampenda

Okay...

Je umri wako ni miaka mingapi na wa binti ni miaka mingapi?

Kwa nini unadhani kuwa unampenda binti huyo na si binti mwingine?

Ni nini hatma ya mapenzi uyatakayo kwa binti huyo?
 
Andika barua ya kurasa tatu halaf nenda kwa balozi wako akugongee mhuri,halaf nenda kwa wakili aithibitishe,mwisho rudisha kwa mtendaji wa kata baada ya hapo balozi ataagizwa amtafute huyo msichana amweleze shida yako kilaini!..loading error....

Hahahaaa...
Demu akichomoa basi unamfungulia mashitaka ya kupuuza mamlaka zilizowekwa kisheria.
 
Andika barua ya kurasa tatu halaf nenda kwa balozi wako akugongee mhuri,halaf nenda kwa wakili aithibitishe,mwisho rudisha kwa mtendaji wa kata baada ya hapo balozi ataagizwa amtafute huyo msichana amweleze shida yako kilaini!..loading error....

Lol ....
 
Jamani naombeni mnishauri kuna msichana mzuri ameamia mtaani kwetu na huwa anakuja kuchota maji nyumbani tatizo nashindwa kumwambia naombeni ushauri wenu wana j.f

Ukimwambia aneweza asikuamini kama unampenda..
mpe hela, we mpe hela tu mwenyewe ataelewa
 
Okay...

Je umri wako ni miaka mingapi na wa binti ni miaka mingapi?

Kwa nini unadhani kuwa unampenda binti huyo na si binti mwingine?

Ni nini hatma ya mapenzi uyatakayo kwa binti huyo?

mim nina miaka 18 binti anaendana na mim na nahic nampenda yeye 2 coz akili yang inamuwaza yeye tu,nataka 2 awe wang daima
 
Back
Top Bottom