Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Okay,

Malengo yako ya maisha ni yapi kwa sasa?

Je umemaliza masomo?

Kama ni ndio hapo juu, unafanya shughuli gani ya maendeleo?

Kijana maisha yetu yana nyakati mbalimbali, na kosa ambalo wengi wetu hufanya ni kujaribu kuharakisha baadhi ya mambo kabla ya wakati sahihi kutimia.

Mungu alivyoumba mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke dhumuni kubwa lilikuwa ni kuwaona wawili hawa wanafikia kilele cha mahusiano ambacho ni NDOA.

Pale juu nimekuuliza una malengo gani na binti huyo lakini ulikwepa kunijibu, hivyo bado napata shaka kama ubongo wako umekomaa kiasi cha kujua malengo ya mahusiano ya kimapenzi ni yapi.

mim naenda kuanza form 5 mwez wa 7 na nina malengo mengi tu juu yake ikiwezekana hata kumuoa
 
mim naenda kuanza form 5 mwez wa 7 na nina malengo mengi tu juu yake ikiwezekana hata kumuoa

Aisee, kumbe bado ungali mwanafunzi na tena hujamaliza hata kidato cha sita...

Ushauri wangu kwako ni kuwa tulia usome kwanza,akili na maarifa yako yote yaelekeze kwenye masomo kwa sasa.

Ukiparamia mapenzi kwa sasa ni rahisi kupoteza uelekeo wa malengo yako kielimu na ukajuta hapo baadaye.

Muhimu kwa sasa ni kumfanya tu huyo binti awe rafiki wa kawaida, usigusie kabisa suala la kumuoa maana kwa umri uliona ataona wamdanganya tu.
 
Okay,

Malengo yako ya maisha ni yapi kwa sasa?

Je umemaliza masomo?

Kama ni ndio hapo juu, unafanya shughuli gani ya maendeleo?

Kijana maisha yetu yana nyakati mbalimbali, na kosa ambalo wengi wetu hufanya ni kujaribu kuharakisha baadhi ya mambo kabla ya wakati sahihi kutimia.

Mungu alivyoumba mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke dhumuni kubwa lilikuwa ni kuwaona wawili hawa wanafikia kilele cha mahusiano ambacho ni NDOA.

Pale juu nimekuuliza una malengo gani na binti huyo lakini ulikwepa kunijibu, hivyo bado napata shaka kama ubongo wako umekomaa kiasi cha kujua malengo ya mahusiano ya kimapenzi ni yapi.

mdau ua wasting ua tym with form IV leaver,,,umri alokutajia ni jibu tosha huyu bado mdogo,ila shahawa za baleghe zinamnyevuanyua
 
Aisee, kumbe bado ungali mwanafunzi na tena hujamaliza hata kidato cha sita...

Ushauri wangu kwako ni kuwa tulia usome kwanza,akili na maarifa yako yote yaelekeze kwenye masomo kwa sasa.

Ukiparamia mapenzi kwa sasa ni rahisi kupoteza uelekeo wa malengo yako kielimu na ukajuta hapo baadaye.

Muhimu kwa sasa ni kumfanya tu huyo binti awe rafiki wa kawaida, usigusie kabisa suala la kumuoa maana kwa umri uliona ataona wamdanganya tu.

mdau si nimekwambia?????
 
Bila angalizo la umri hapa,tutapigana vikumbo na wanetu.

Hivi hakuna jinsi yoyote hizi thread zikakwa censored? Moderators hawawezi kusaidia katika hili?! Maana hata ukienda kuogelea bwawani, kuna bwawa la wakubwa na watoto. Halafu lile la watoto linakuwa na waangalizi kuepusha mikasa kama ile iliyotokea Mbezi last week.
 
Aisee, kumbe bado ungali mwanafunzi na tena hujamaliza hata kidato cha sita...

Ushauri wangu kwako ni kuwa tulia usome kwanza,akili na maarifa yako yote yaelekeze kwenye masomo kwa sasa.

Ukiparamia mapenzi kwa sasa ni rahisi kupoteza uelekeo wa malengo yako kielimu na ukajuta hapo baadaye.

Muhimu kwa sasa ni kumfanya tu huyo binti awe rafiki wa kawaida, usigusie kabisa suala la kumuoa maana kwa umri uliona ataona wamdanganya tu.

xaxa nifanyeje na mim nampenda
 
Back
Top Bottom