Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

mim nina miaka 18 binti anaendana na mim na nahic nampenda yeye 2 coz akili yang inamuwaza yeye tu,nataka 2 awe wang daima

Okay kijana unawaza vyema na ni dalili njema kuwa vichocheo katika mwili wako vinafanya kazi barabara...

Kisheria umri ulionao ni sahihi kabisa kuanza kujihusisha na masuala ya mapenzi kwa hilo upo sahihi.

Shaka yangu sasa i juu ya umri wa binti maana kama wewe una umri huo, huyo binti je ana umri gani?
 
Okay kijana unawaza vyema na ni dalili njema kuwa vichocheo katika mwili wako vinafanya kazi barabara...

Kisheria umri ulionao ni sahihi kabisa kuanza kujihusisha na masuala ya mapenzi kwa hilo upo sahihi.

Shaka yangu sasa i juu ya umri wa binti maana kama wewe una umri huo, huyo binti je ana umri gani?

huyo binti umrì wake bdo cjafaham ila nahic atakuwa anaendana na mim au nimempta kidogo
 
akija kuchota maji msogelee na kumsalimia "Hi!"
Akijibu "Hi!" ujue amekubali. mbusu na kumkumbatia ukimshika kiunoni
Akijibu tofauti ujue amekukataa.
All the best
 
huyo binti umrì wake bdo cjafaham ila nahic atakuwa anaendana na mim au nimempta kidogo

Okay,

Malengo yako ya maisha ni yapi kwa sasa?

Je umemaliza masomo?

Kama ni ndio hapo juu, unafanya shughuli gani ya maendeleo?

Kijana maisha yetu yana nyakati mbalimbali, na kosa ambalo wengi wetu hufanya ni kujaribu kuharakisha baadhi ya mambo kabla ya wakati sahihi kutimia.

Mungu alivyoumba mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke dhumuni kubwa lilikuwa ni kuwaona wawili hawa wanafikia kilele cha mahusiano ambacho ni NDOA.

Pale juu nimekuuliza una malengo gani na binti huyo lakini ulikwepa kunijibu, hivyo bado napata shaka kama ubongo wako umekomaa kiasi cha kujua malengo ya mahusiano ya kimapenzi ni yapi.
 
Nitumie namba yake ya simu,.mi nitakusaidia kumwambia
 
Back
Top Bottom