Msaada jamani hiki ni nini?

...Sasa Ukijue Cha Nini Wakati Umeishaishi Hapo MIAKA MITATU na hujapatwa na lolote baya ! Ukijue ili iweje ? Tupa mbali au Choma Moto TU !...
 
Usihangaikie kitu kisicho na tija, choma moto uendalee na maisha yako, imani zake za kijinga achana nazo shika imani zako.
 
Nakuona bwana vagina unapenda mambo ya umbea sana
Lini utaenda kusalimiana na majini huko macca kama sheikh mwenzako kipozeo?

Kwani huyo uliyemfanya mungu karudishwa na ibilisi ??

Mathew 4:8
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake,


 
Kwani huyo uliyemfanya mungu karudishwa na ibilisi ??

Mathew 4:8
Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake,


View attachment 2920160
hujajibu swali langu bwana vagina
Au hujaenda macca kuswali na majini wenzio kama asemavyo kipozeo?
 

Attachments

  • IMG-20240210-WA0024.jpg
    102.5 KB · Views: 4
Kama eneo ulinunua kwa pesa zako halali endelea kufurahia maisha yako ila kama ulifanya dhuluma lazima nawe udhulumiwe in any way.
 
Mkuu,
Bila shaka by that time ulikua unapuliza Jani la BOB 😊😊 Sio Kwa hiyo mi confidence...

NB:
Dogo mmoja miaka Mingi sana iliyo pita ofsn nilio kua nafanyia kazi mshikaji Kwa ujanja mkubwa wakat wa lunch alipenyezewa jumbe mfukoni bila yeye kujua imeandikwa kama kombe za kiislamu na alipo jisachi akaukuta huo ujumbe alipo fuatilia wadau wanao jua arabic wamsomee ndipo alipo jua ume andikwa Kwa kiarabu Inna lilaah waina lilai rajuun "Bwana ametoa bwana ametwaha jina la bwana libalikiwe"" Acha jamaa apanic na kuingiwa na hofu kumbe wadau walikua wanamtikisa akili 😊😊😊
 
Nikuitie Sheikh Ngunde aje akufanyie kisomo? Mimi huwa namtumia kwenye issues zangu. Hapo kuna majini yaliwekwa kuilinda nyumba. Una muda gani ukiwa hapo? Au nikuachie mshana ndo aje kukujibu.
 
Mulize yule alitingwa roba pangoni alifanywa nini na ibilisi mpaka akawa kichaa
Math 4:8 Alichukuliwa mpaka juu milimani na ibilisi akataka kuhongwa miji ibilisi kama vile yeye siye anayemiliki hiyo miji , utopolo mtupu
 
Aliewaambia mshana anajua kiarabu ni nani?
Aisee,
Kiarabu ni kama Lugha nyingine zozote, hata Michael Naweza jua Kiarabu wakati Mohamed anajua vzr kiebrania.
Uache kukariri, nyakati hizi kila kitu ni kinawezekana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…