Asbm
Member
- Jun 26, 2019
- 38
- 33
HahaaaaaaKifuatacho funga PM tu dadangu
HahaaaaaaKifuatacho funga PM tu dadangu
Pale silver paradise bei ya chini ni sh ngapi single?Nenda Silver Paradise iko Manzese hutaamini utakachokiona,za Sinza nyingi zimechoka...
Sawa asanteKila kitu ile ni hotel sio gesti mkuu hadi ukitaka huduma ya masaji chumbani wanakupa na happy ending
35,000/- ila inabidi uwahi mara nyingi ikishafika saa 1,vinakuwa vimejaa...Pale silver paradise bei ya chini ni sh ngapi single?
Vyenye balcony nje ni kuanzia bei gani mkuu35,000/- ila inabidi uwahi mara nyingi ikishafika saa 1,vinakuwa vimejaa...
Twende woteNenda mitaa ya sinza vatcan kuna lodge za 15000 na mchepuko wa kiume unapata nawale wanao taka wakike pia unapata
Jamaa wako vizuri mkuu matangazo yako kwenye corridor hadi ndani ya lift mule mkuu hospitality yao nimeipenda sana nikiwaga dar ndio huwa nafikia hapoHii si dhani kama nitaruhusiwa nilale
cc Mother Confessor
Tatizo Wana customer care mbovu sanaNenda Silver Paradise iko Manzese hutaamini utakachokiona,za Sinza nyingi zimechoka...
Umelala mara ngapi mkuu?mimi mara nyingi huwa nafikia pale sijawahi kukutana na hilo.Ninachojua mara nyingi ukaguzi wanaofanya na ambao unafanywa na Hoteli nyingi ni ukaguzi wa mali,kwani kuna watu huwa wanatoka na mashuka,kandambili,remote za AC au TV,neti,TV n.k..kwahiyo wakati wa checkout kuna mtu anafanya hiyo kazi,labda ndio maana wewe ukahisi wanakagua mashuka.Na kawaida unapokuwa una checkout kuna watu wa usafi ambao kazi yao ni kutoa mashuka yote hata kama ni masafi,yanatolewa na kupelekwa laundry kufuliwa na wanaweka masafi kwani wanajua kwa namna moja au nyingine lazima yachafuke...Tatizo Wana customer care mbovu sana
Ukitoka lazima wakakague usafi... hivi mtu avunje amri ya 6 pabaki hivo hivo...
.
DuuuuhSaivi hoteli nyingi wanakagua sana kwa saabu watu wengne ni wezi sana wanaiba shuka, taulo hata ndala za choo. Kingine saivi watu wanafi.rana sana pengne kuliko kipindi chochote cha maisha ya bnadam mashuka yanachafuka.
Da hii kweli mkuu wamiliki wa gesti wanafua sana mav h ha ha ha ha ha da nimecheka sanaSaivi hoteli nyingi wanakagua sana kwa saabu watu wengne ni wezi sana wanaiba shuka, taulo hata ndala za choo. Kingine saivi watu wanafi.rana sana pengne kuliko kipindi chochote cha maisha ya bnadam mashuka yanachafuka.
nimelala hoteli nyingi za manzese wakina lunch time na pale rombo pia mara kadhaa. nilichokiona nyingi kati ya hizo hakuna gym wala swimming pool, Halafu huwa wanaandika BB yaani Bed and Breakfast lakini ukiamka asubuhi unaambulia kipande cha mkate kilichopakwa jam na blueband. Kama hutumii hizo vitu ndio imekula kwako. Lodge pekee ya kiwango cha kati niliolala walau wakaweka chai nzuri ni Vizano ya Mwanza Enzi hizo pamoja na kidogo Gwami pale Morogoro, Zengine zote zinafanana tu utasema zinamilikiwa na Tajiri mmoja