Prince Kamugisha
Member
- Jul 29, 2018
- 96
- 237
Ongeza 5,000 uende Den France hotel hutojutia
Njoo Kibadamo Hotel. Ni patulivu sana ingawaje iko mkabala na stendi ya mabasi ya mikoani. BB 30 000/35,000.Wadau kwema,
Naomba msaada, mwenye kufahamu hotel nzuri maeneo ya Mwenge au Sinza. Isiwe na kelele za Bar, Night Club au Kumbi za Harusi.
Budghet yangu TZS 20,000 hadi TZS 35,000. Yaani iwe na madhari nzuri na usalama 100%.
This is the best ........Nenda Silver Paradise iko Manzese hutaamini utakachokiona,za Sinza nyingi zimechoka...
Hahaha tatizo locationThis is the best ........
I recommend it boss! Bila kujali location jaribu hutajutia, manzese inabadilika siyo ile ya zamaniHahaha tatizo location
Kila kitu ile ni hotel sio gesti mkuu hadi ukitaka huduma ya masaji chumbani wanakupa na happy endingMkuu kuna huduma ya maji ya moto pale?
Mchepuko wa kiume unamaanisha shoga au?Nenda mitaa ya sinza vatcan kuna lodge za 15000 [emoji23][emoji23][emoji23] na mchepuko wa kiume unapata nawale wanao taka wakike pia unapata [emoji23][emoji23]
Hii si dhani kama nitaruhusiwa nilaleKila kitu ile ni hotel sio gesti mkuu hadi ukitaka huduma ya masaji chumbani wanakupa na happy ending
Tena usithubutu😡😡😡Hii si dhani kama nitaruhusiwa nilale
cc Mother Confessor
Mi nahisi sitaenda kulala mwenyeweHii si dhani kama nitaruhusiwa nilale
cc Mother Confessor
Naunga mkono hoja nimeshavunjia sana amri pale ni sehemu tulivu na ya ukweli sana nilipahama baada ya ule ujenzi wa barabara ya kijiweni kuelekea kwa Bi Nyau ulipoisha sijarudi tena nilipata chimbo jipyaMkomilo Hotel 35,000
Tena kule Manzese mitaa ya Tip Top zipo za uhakika na tulivu kuliko Sinza...Nenda Silver Paradise iko Manzese hutaamini utakachokiona,za Sinza nyingi zimechoka...