Msaada: Hotel nzuri Dar, maeneo Sinza au Mwenge

Msaada: Hotel nzuri Dar, maeneo Sinza au Mwenge

Wadau kwema,
Naomba msaada, mwenye kufahamu hotel nzuri maeneo ya Mwenge au Sinza. Isiwe na kelele za Bar, Night Club au Kumbi za Harusi. Budghet yangu TZS 20,000 hadi TZS 35,000. Yaani iwe na madhari nzuri na usalama 100%.
Nije tulale pamoja Mdada??
 
Huu uzi bhana wachangiaji wote washalala lodge za Sinza hahahahahaaaaaa hatari sana...wacha nivute kiti nipate full list[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wadau kwema,

Naomba msaada, mwenye kufahamu hotel nzuri maeneo ya Mwenge au Sinza. Isiwe na kelele za Bar, Night Club au Kumbi za Harusi.

Budghet yangu TZS 20,000 hadi TZS 35,000. Yaani iwe na madhari nzuri na usalama 100%.
Kwa bei hiyo nenda Sinza Kumekucha Fine Travellers au Golden park
 
.mkuu,heavy metal,ni kweli.kwa mfano namnani nimelala zaidi ya mara 30
 
Mkuu mimi ndio hotel yangu nalipaga 40 kila nikija dar
Jitoe ufahamu siku moja ukalale Silver Paradise Manzese,utagundua Green View wamechelewa sana,unless kama wewe unaangalia location kutokana na mahitaji yako,na kwahiyo 40,000/- ndio utachanganyikiwa kabisa pale,lakini kwa case ya Hotel nzuri go there and feel yourself how it's going down...
 
Jitoe ufahamu siku moja ukalale Silver Paradise Manzese,utagundua Green View wamechelewa sana,unless kama wewe unaangalia location kutokana na mahitaji yako,lakini kwa case ya Hotel nzuri go there and feel yourself how it's going down...
Mkuu manzese wale vibaka ustaarabu utakuwepo kweli
 
Mkuu Ina Nini Cha ajabu Hii hotel....siwezi kwenda pale kwa Sababu mmiliki ni mshikaj wangu
Jitoe ufahamu siku moja ukalale Silver Paradise Manzese,utagundua Green View wamechelewa sana,unless kama wewe unaangalia location kutokana na mahitaji yako,lakini kwa case ya Hotel nzuri go there and feel yourself how it's going down...
 
Back
Top Bottom