Wakuu bila kuwachosha naomba nitoe matokeo ya utafiti wangu.
Kwa wiki 10 nilikusudia kufanya utafiti binafsi kutaka kujua hawa wadada tunowaona kwenye kumbi za starehe, Bar, night club, restaurant nzuri, hotel zenye huduma mseto, launge na saloon je huwa wanaenda makanisani au huduma za kiroho kwenye nyumba za ibada na makusanyiko ya dini?. Utafiti nimeufanya kwenye Jiji la Dar, Dodoma na mji wa Moshi
Njia (methodology) yangu ilikuwa kufanya direct observation(kutazama) kwenye maeneo niliyo yabainisha hapo juu.
Matokeo:
1: Kwa kipindi cha week 10 nimetembelea kumbi za starehe 14, makanisa 23, makongamano ya kiroho 5, na seminar za kiroho 3.
2: Katika kumbi za starehe, hotel na saluni kuna idadi kubwa ya akina dada wa umri kati ya 18-35 . Wengi wana miili yenye maumbo mazuri, weupe, ngozi nyororo, stylish hair (misuko tofauti, bleech, na mawigi), kucha bandia na macho yasio tulia. wengine wana matako makubwa, miili mikubwa, miguu minene, na wanaletwa na magari.
3: Katika sehemu za ibada nilikuta mchanganyiko wa umri, 10-14 (teenagers) na watu wazima( 35-50+). Wengi wanaonekana ni singo mother na sura zao zinaashiria kukosa nuru na kuchoshwa na dunia. Wengi wanamaumbo yasiyogawanyika vyema, huwezi Jua mwisho wa kiwiliwili na makalio, wengi hawana matako makubwa, na kichwani wengi wako simple hata kama ni wigi unaona halina mambo mengi. Wengi wakija naeneo hayo ni either wanatembea kwa mguu au usafiri wa boda na bajaji na wachache magari.
4: Jambo lingine lililokuwa bayana ni kiwango cha utulivu. Inaweza kuwa ni sababu ya kimazingira ila kiufupi wale wa dada niliowaona kumbi za starehe wengi wao hawana utulivu Kwa kutazama macho Yao , namna wanavyotazama watu walio kwenye eneo , uongeaji wao, inuka kaa, nenda washroom rudi mezani, kujikuna, kubadirisha mikao n.k
Nilichojifunza: hao wanawake tunokutana nao kwenye maeneo ya starehe huwa wanaishi wapi coz hata mitaani ni nadra kuwakuta kwenye matukio ya kijamii kama misibani, au mikutano hasa mida ya mchana.
Inaonyesha Kuna aina ya wadada hawana time na mambo ya Mungu. Wamejisajili kwa shetani na anawatumia kuangamiza jamii kwa zinaa, ufilauni na starehe za dunia. Huenda huwa tunafanya sex na majini sisi tukizani ni binadamu wenzetu.
Lipo la kujifunza. Karibuni muchangie Uzi huu ili kuchambua matokeo ya utafiti huu Kwa kutoa uzoefu wenu pia
Kwa wiki 10 nilikusudia kufanya utafiti binafsi kutaka kujua hawa wadada tunowaona kwenye kumbi za starehe, Bar, night club, restaurant nzuri, hotel zenye huduma mseto, launge na saloon je huwa wanaenda makanisani au huduma za kiroho kwenye nyumba za ibada na makusanyiko ya dini?. Utafiti nimeufanya kwenye Jiji la Dar, Dodoma na mji wa Moshi
Njia (methodology) yangu ilikuwa kufanya direct observation(kutazama) kwenye maeneo niliyo yabainisha hapo juu.
Matokeo:
1: Kwa kipindi cha week 10 nimetembelea kumbi za starehe 14, makanisa 23, makongamano ya kiroho 5, na seminar za kiroho 3.
2: Katika kumbi za starehe, hotel na saluni kuna idadi kubwa ya akina dada wa umri kati ya 18-35 . Wengi wana miili yenye maumbo mazuri, weupe, ngozi nyororo, stylish hair (misuko tofauti, bleech, na mawigi), kucha bandia na macho yasio tulia. wengine wana matako makubwa, miili mikubwa, miguu minene, na wanaletwa na magari.
3: Katika sehemu za ibada nilikuta mchanganyiko wa umri, 10-14 (teenagers) na watu wazima( 35-50+). Wengi wanaonekana ni singo mother na sura zao zinaashiria kukosa nuru na kuchoshwa na dunia. Wengi wanamaumbo yasiyogawanyika vyema, huwezi Jua mwisho wa kiwiliwili na makalio, wengi hawana matako makubwa, na kichwani wengi wako simple hata kama ni wigi unaona halina mambo mengi. Wengi wakija naeneo hayo ni either wanatembea kwa mguu au usafiri wa boda na bajaji na wachache magari.
4: Jambo lingine lililokuwa bayana ni kiwango cha utulivu. Inaweza kuwa ni sababu ya kimazingira ila kiufupi wale wa dada niliowaona kumbi za starehe wengi wao hawana utulivu Kwa kutazama macho Yao , namna wanavyotazama watu walio kwenye eneo , uongeaji wao, inuka kaa, nenda washroom rudi mezani, kujikuna, kubadirisha mikao n.k
Nilichojifunza: hao wanawake tunokutana nao kwenye maeneo ya starehe huwa wanaishi wapi coz hata mitaani ni nadra kuwakuta kwenye matukio ya kijamii kama misibani, au mikutano hasa mida ya mchana.
Inaonyesha Kuna aina ya wadada hawana time na mambo ya Mungu. Wamejisajili kwa shetani na anawatumia kuangamiza jamii kwa zinaa, ufilauni na starehe za dunia. Huenda huwa tunafanya sex na majini sisi tukizani ni binadamu wenzetu.
Lipo la kujifunza. Karibuni muchangie Uzi huu ili kuchambua matokeo ya utafiti huu Kwa kutoa uzoefu wenu pia