Msaada hili ni jeshi gani?

Msaada hili ni jeshi gani?

Eb ngoja mmesha thibitisha kwanza kama hiyo gun sio toy maana migambo huchonga toys kwa ajili ya mazoezi
 
Kwahiyo wewe ukiona tu picha ina caption kwa lugha ya Kiswahili basi unajua kua huyo mtu anakua ni mtanzania moja kwa moja?


Akili za wapi hizi?
Itakuwa akili za kushikiwa. Kiswahili kwa sasa kinazungumzwa na watu wengi. Nchi jirani tunazopakana nazo baadhi ya raia wake wanakifahamu Kiswahili. Mfano Mashariki wa DRC kuna wazungumzaji wengi wa Kiswahili na ndiko kuna vikundi vingi vya waasi. Hii sura kama inafanana na Banyamulenge!
 
Maaskari wa siku hizi ni vituko, haileweki wanafanya hivyo kwa minajili gani huku kanuni za maisha ya kijeshi haziruhusu mambo hayo
Pamoja na mapungufu mengi katika Majeshi yetu, nakataa hii picha sio mwanajeshi wa Tanzania.
 
Kwahiyo wewe ukiona tu picha ina caption kwa lugha ya Kiswahili basi huyo mtu anakua ni mtanzania?
Akili za wapI hizi.
Itakuwa akili za kushikiwa. Kiswahili kwa sasa kinazungumzwa na watu wengi. Nchi jirani tunazopakana nazo baadhi ya raia wake wanakifahamu Kiswahili. Mfano Mashariki wa DRC kuna wazungumzaji wengi wa Kiswahili na ndiko kuna vikundi vingi vya waasi. Hii sura kama inafanana na Banyamulenge!
Ogopa Mungu na Teknolojia wakati mwingine ishughulishe akili kidogo hii Dunia ni ya Mungu
Screenshot_20211214-153504~3.png
 
Huyo dogo ni mgambo.
 
Ogopa Mungu na Teknolojia wakati mwingine ishughulishe akili kidogo hii Dunia ni ya MunguView attachment 2043830
Hapo ndio mwisho wa kuishughulisha akili yako? Kwahiyo mtu yeyote akivaa jezi ya Barcelona anakua ni Mspania? Mtu akivaa jezi ya Manchester united anakua ni Muingereza?

Una umri gani? Isije ikawa naelewesha kitoto cha darasa la pili.
 
Hapo ndio mwisho wa kuishughulisha akili yako? Kwahiyo mtu yeyote akivaa jezi ya Barcelona anakua ni Mspania? Mtu akivaa jezi ya Manchester united anakua ni Muingereza?

Una umri gani? Isije ikawa naelewesha kitoto cha darasa la pili.
Wewe kichaa jamaa kafahamika na ameshadakwa.Mnajitia ujuaji.Endelea kuputuliza tumba humu.
 
Wewe kichaa jamaa kafahamika na ameshadakwa.Mnajitia ujuaji.Endelea kuputuliza tumba humu.
Huna akili wewe,

Issue sio kujua huyo ni raia wa nchi gani,issue hapa ni kwamba ulitumia ile caption ya maneno ya Kiswahili kusema huyo ni mtanzania,Kiswahili kinatumika nchi nyingi tu na sio Tz peke yake,So caption ya kiswahili haiwezi kutumika kujustfy origin ya muhusika,

Uwezo wako wakufikiri na kuchanganua mambo ni mdogo sana.
 
Nilikwenda msumbiji kule jeshi anazurula na AK47 kwenye daladala, nyumbani ,😂😂 hapa Tanzania mgambo huwa hawapewi AK47
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom