Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,748
Boss mimi ni Mzoefu ukiachana na utaalam nilionao, samsung wako Makini sana na swala la display....Hawawezi fanya ujinga wa kutengeneza display mbovu kwenye simu latest kama J7 Prime, kuna mshikaji aliniletea iko ivo ivo akaniambia laki tatu na full box, nikamwambia ni OG?? akakaza akidai OG..Nikamwambia Fungua Box...kama ni OG 300 nakupa ila kama si OG utaondoka tu....akamenya kile kikaratasi duuh Ngomaa Fekii na yeye ikabidi akubaliNdio jinsi hizo simu zilivyo, zina display mbaya sana. Kuanzia galaxy prime mpaka hii hazina tofauti yoyote.