Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Maadam chief mkwawa kasema ni org basi napokea hilo. Maana ambacho naona kinaleta utofauti hii ni made by vietnum na zile zenye amolled ni made by korea
Sasa kwann uchukue kutoka vietnam mkuu ?
Mimi ni made in korea J5 prime na iko vzr sana
042948a153d733a8504c05c06e066ecd.jpg
b8f23cf3570a7701a815ae10fae48bf4.jpg
8530a07d8cc8cae919f4287981d3dcd6.jpg
0e32ac3007bdc103a30a0365acede4d0.jpg
 
Inamaana nimetoka kwenye fake tecno naingia fake samsung wakati nimejipiga ili kupata original simu acha niiambie roho yangu ni org ili maisha yaende maana hata mwenye duka alinambia ntaongeza walau laki na nusu kupata sony Xperia wakati hiyo pesa sina. Basi tuù
pole sana kbl hujafanya maamuzi shirikisha watu
 
Habari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung nnazozijua, haina ule mstari wa kijani unatokeaga juu na sio amolled , kwa ujumla iko tofauti na nomads by Vietnam labda unaweza kunisaidia chochote kabla sijairudisha.
cbcf44a56a6e6c75d27d3f0d32f5437f.jpg
ila mkuu nashindwa kuielewa simu yako asee maana hata screen mbona inaoneka ndogo sana ,wakati yangu ni j5 prime lkn iko vzr mnoo .
c49242a86476675fd9c98201bcf032c6.jpg
 
Picha ya juu kabisa apo kweny device name pame andikwa

SUMSUNG

Kuna usalama kweli??
SUMSUNG

Jamaa kapigwa asubuhi muonekqno tu wa simu inaonyesha ni fake

Labda alivyoenda dukani akasema anataka SUMSUNG si unajua wengine kuta.ka Samsung hawawezi.



Kitu cha korea ndo samsung halisi hizo za vietnam ni SUMSUNG
 
Simu gani ambayo ni original nijipatie au duka gani linauza simu original nikajipatie maana nimepata na mimi mtu wa kumpiga kwa 450,000 potelea mbali tugawane hasara
 
Ni maduka gani ya simu original kwa dar maana nimepata kisafari cha kwenda dar natokea kigoma mwisho wa reli huku nisije nikapigwa tena
 
Ni maduka gani ya simu original kwa dar maana nimepata kisafari cha kwenda dar natokea kigoma mwisho wa reli huku nisije nikapigwa tena
Mkuu ingia samsung customer care sijui uko maeneo gani ?
 
Ni maduka gani ya simu original kwa dar maana nimepata kisafari cha kwenda dar natokea kigoma mwisho wa reli huku nisije nikapigwa tena
Mkuu nenda samsung customer care ndo wanauza vitu orgn
 
kabla ya yote nunua simu then click *#06# copy ime then tuma kwa 15090 bure Watakwambia Ni Samsung Gani
 
Simu gani ambayo ni original nijipatie au duka gani linauza simu original nikajipatie maana nimepata na mimi mtu wa kumpiga kwa 450,000 potelea mbali tugawane hasara
Jinunulie Samsung A3 2017 nzuri sana utaipenda
 
Mi natumia Samsung J5 prime now nimeupdate nipo Nougat naenjoy balaa .. Au Mtafute High life tz yupo upanga jijini dar anauza vitu orgn
6f674c5530b5373ca0c9ed282049ffbf.jpg
 
Kwahiyo Chief Mkwawa pekee ndio anazijua Samsung? Aya Mkuu, ngoja tukuache na Chief wako.
Kwa vile unamwamini chief mkwawa tu kwa hapa basi endelea kuamini hivyo ila kwa experience yangu hiyo cm ni famba sema famba lenyew liko advanced sana kiasi kwamba wajanja tu wajuzi Wa hizi cm ndio huelewa
utofaut wa Chief na ninyi mnao jiita wataalam ni kuwa yeye anajibu na kitoa solution hapohapo ila ninyi mnasema ni famba na kulaumu laumu bila kutoa maelezo ya ziada. sasa unategemea mtu akuulize wewe unajibu tu hiyo ni famba bila kumwambia kwanini unasema ni famba?
 
Ni maduka gani ya simu original kwa dar maana nimepata kisafari cha kwenda dar natokea kigoma mwisho wa reli huku nisije nikapigwa tena
SUMSUNG

Jamaa kapigwa asubuhi muonekqno tu wa simu inaonyesha ni fake

Labda alivyoenda dukani akasema anataka SUMSUNG si unajua wengine kuta.ka Samsung hawawezi.



Kitu cha korea ndo samsung halisi hizo za vietnam ni SUMSUNG
kwanini umpe hasara mwenzako wakat muuzaji aliyekuuzia unamjua?

mrudishie na umwoneshe hiyo
IMG_20180224_112803_495.JPG

akibisha mtishie kwenda polisi
 
Mkuu ingia samsung customer care sijui uko maeneo gani ?
Mi mwenyeji wa kigoma ila dar sio mgeni sana maana nilisoma chuo dar miaka 3 kwahiyo ukinambia ikosehemu gani ntafika bila shisa
 
Mi mwenyeji wa kigoma ila dar sio mgeni sana maana nilisoma chuo dar miaka 3 kwahiyo ukinambia ikosehemu gani ntafika bila shisa
Wako JM Mall, Karibu na Parking Entrance ya JM Mall, Opposite NBC - or call them on 022 2124760, 0786 230 111 or 0776 786 500

Utawapigia simu au kama utaweza kufika bila shida nenda
 
Hapo hamna kitu umeuziwa copy njoo nikupe original tiku
Namuuzia J5 prime Yangu iko poa 420K Ina kila kitu mzee, Pin ,Chaji yake ,Earphone na box juu kwa 400K ina miezi miwili
Bei haipungui hata cent . hapo biashara bila chenga
5a901d3c5f128475fbba1d164c398e3f.jpg
ee65197aa49c98b9344a79a8d772a95c.jpg
ea53fbc7a8261fa44a5ba5d850efbfaa.jpg
f045d4a1470b669a42cb454b6d56231e.jpg
 
Namuuzia J5 prime Yangu iko poa 420K Ina kila kitu mzee, Pin ,Chaji yake ,Earphone na box juu kwa 400K ina miezi miwili
Bei haipungui hata cent . hapo biashara bila chenga
5a901d3c5f128475fbba1d164c398e3f.jpg
ee65197aa49c98b9344a79a8d772a95c.jpg
ea53fbc7a8261fa44a5ba5d850efbfaa.jpg
f045d4a1470b669a42cb454b6d56231e.jpg
J7 Pro. Laki 6.
 
Back
Top Bottom