Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,075
Aongeze hata laki basi tufanye biashara.![]()
Yeye ana 450k kwa hiyo hajafikia gharama ys kununua simu yako
Simu bado ipo new condition na warranty. Ila kwa 550 charger na earphones hapati!
Aongeze hata laki basi tufanye biashara.![]()
Yeye ana 450k kwa hiyo hajafikia gharama ys kununua simu yako
Hana ziadi ya 450k mi nampa j5 prime yangu ipo vzr mnoo atafurahiaAongeze hata laki basi tufanye biashara.
Simu bado ipo new condition na warranty. Ila kwa 550 charger na earphones hapati!
lete ujuzi wako wwWote hao hawana ujuzi
Mimi ndio naitupia muda huu. Ipo poa sana. Tatizo ni vi aikoni vyake ni vibaya tangu nilipi update simu baada ya kununua kama inavyoonekana ktk picha hizo![]()
![]()
Ila jamaa kapigwa mchana kweupe sumsung j7 prime
![]()
Ni made by wapi Korea ama vietnumMimi ndio naitupia muda huu. Ipo poa sana. Tatizo ni vi aikoni vyake ni vibaya tangu nilipi update simu baada ya kununua kama inavyoonekana ktk picha hizo
Kwanini umtie mwingine hasara akati aliyekuuzia unamfahamu.. Mrudishie simu yake kama akikataa na risiti unayo mpeleke polisi ela yako inarudi.. Kwanini upate hasara na dhambi juuSimu gani ambayo ni original nijipatie au duka gani linauza simu original nikajipatie maana nimepata na mimi mtu wa kumpiga kwa 450,000 potelea mbali tugawane hasara
Hamna! hiyo simu ni Original acheni kimtia presha.![]()
![]()
Ila jamaa kapigwa mchana kweupe sumsung j7 prime
![]()
Hamna usalama kabisaPicha ya juu kabisa apo kweny device name pame andikwa
SUMSUNG
Kuna usalama kweli??





Ni made by wapi Korea ama vietnum
KoreaNi made by wapi Korea ama vietnum
Kitu Samsung KoreaNi made by wapi Korea ama vietnum
Kitu Samsung KoreaNi made by wapi Korea ama vietnum