Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Nyingine
23605b0bdb51fdfc176bb0b80625dd79.jpg
968f463ef238b83b93b65c83db566760.jpg
 
Habari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung nnazozijua, haina ule mstari wa kijani unatokeaga juu na sio amolled , kwa ujumla iko tofauti na nomads by Vietnam labda unaweza kunisaidia chochote kabla sijairudisha.
cbcf44a56a6e6c75d27d3f0d32f5437f.jpg
Ni High Copy hiyo mzee usisumbuke mi nnayo J7 Prime Pro inafanya hvyo hvyo
 
Mkuu chief mkwawa hapo nimezima simu nikabonyeza baton ya kupunguza sauti, ya mentioned na ya kuzima ambayo iko upande wa kulia, inatokea hivo happy sikuscreen shot nimepiga picha na simu nyingine ndo nikaihamishia hapa japo kudownload haifiki mwisho imeanza kudownload tangu saa 10 hadi saa 12 haijamaliza nikaikatiza. So pic ya kudownload ndo hiyo



69ae785cd2dfb4e694c6c345b6a543fc.jpg
 
Kwajuu kushoto kulikuwa na vimaandishi vidogovidogo lkn hapa haiomekani
 
Kwajuu kushoto kulikuwa na vimaandishi vidogovidogo lkn hapa haiomekani
hivo vimaandishi ndio vilikuwa vinahitajika. hukutakiwa kudownload kitu (haidownload kitu inaandika tu hivyo)

visome hivyo vimaandishi na uviandike hapa au utume picha inayoonekana hivyo vimaandishi.
 
Mwanzoni nilinunua samsung mtumba wa Korea ilikuwa tamu balaa nikaiuza baadae nikanunua note two kumbe clone kisha nikanunua tena note four kumbe nayo clone ovyo tu nikahamia huawei sijawahi juta na sihami huku
 
hivo vimaandishi ndio vilikuwa vinahitajika. hukutakiwa kudownload kitu (haidownload kitu inaandika tu hivyo)

visome hivyo vimaandishi na uviandike hapa au utume picha inayoonekana hivyo vimaandishi.
Maandishi ni hiyo hapo
5d8a26ace3ca6bc2d1372a3b0b1c74d1.jpg
d9e1663b7ce373d77f8697c0b23e97ba.jpg
 
Mkuu chief mkwawa nimepiga picha ndo hiyo hapo
 
Back
Top Bottom