Nimeona umeandika download mudi au sijaelewa mkuumkuu umesoma lakini nilivyoandika?
angalia hio picha kuna combination ya button unazibonyeza simu ikiwa imezimwaSijaelewa mkuu nieleweshe
Laki sita wanunua simuDu bora maana nimehaha kweli nikiwaza laki sita
Kwako vyuma vimegeuka minyororo in bwana yulw wa ccm voiceNi High Copy hiyo mzee usisumbuke mi nnayo J7 Prime Pro inafanya hvyo hvyoHabari sana Jamie forum . Chief_ mkwawa naomba Msaada nimenunua simu samsung galax j7 prime, mbona haina feature za samsung. Japo iko vizuri mtandao, camera, lakini ni nzito tofauti na Samsung nnazozijua, haina ule mstari wa kijani unatokeaga juu na sio amolled , kwa ujumla iko tofauti na nomads by Vietnam labda unaweza kunisaidia chochote kabla sijairudisha.![]()

ushauri jamani
hivo vimaandishi ndio vilikuwa vinahitajika. hukutakiwa kudownload kitu (haidownload kitu inaandika tu hivyo)Kwajuu kushoto kulikuwa na vimaandishi vidogovidogo lkn hapa haiomekani
Maandishi ni hiyo hapohivo vimaandishi ndio vilikuwa vinahitajika. hukutakiwa kudownload kitu (haidownload kitu inaandika tu hivyo)
visome hivyo vimaandishi na uviandike hapa au utume picha inayoonekana hivyo vimaandishi.
Kweli watu hawaijui samsung aseeMkuu chief mkwawa nimepiga picha ndo hiyo hapo
Mkuu chief mkwawa nimepiga picha ndo hiyo hapo
Mkuu Mkwawa hio ni Very Fake Galaxy J7 Prime...hata wauzaji wanajua ila wanashikisha tu....tazama tu display....Hakuna samsung OG yenye display ya hivo.kwa hio picha inaonesha ni original mkuu.
Mkuu Mkwawa hio ni Very Fake Galaxy J7 Prime...hata wauzaji wanajua ila wanashikisha tu....tazama tu display....Hakuna samsung OG yenye display ya hivo.
Simu yangu ni kaka ya huyu mtoa uzi ila ziko tofauti sana tuNdio jinsi hizo simu zilivyo, zina display mbaya sana. Kuanzia galaxy prime mpaka hii hazina tofauti yoyote.
Simu yangu ni kaka ya huyu mtoa uzi ila ziko tofauti sana tu