Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

download app ya cpu z playstore kisha ifungue angalia soc yake ni ipi? ikiwezekana tuma screenshot hapa.
Hiyo hapo mkuu niangalizie
ecb24a2dd4925c113488e05e8b722d67.jpg
ab37259093f1798d501511492498a8d6.jpg
4e9e05b7ba3ddfcddb2d9b6baf5d25dd.jpg
eb75d1e6018772d014485625e68e821b.jpg
ee805cc41c9889c92f8fa9456f825928.jpg
03cd124fe18de176db88aaf10a6cf960.jpg
 
Hiyo hapo mkuu niangalizie
ecb24a2dd4925c113488e05e8b722d67.jpg
ab37259093f1798d501511492498a8d6.jpg
4e9e05b7ba3ddfcddb2d9b6baf5d25dd.jpg
eb75d1e6018772d014485625e68e821b.jpg
ee805cc41c9889c92f8fa9456f825928.jpg
03cd124fe18de176db88aaf10a6cf960.jpg
mkuu j7 prime haina amoled hivyo usishangae quality ya kioo ni kawaida kwa hii simu.

kuhusu muonekano pengine imeekwa themes? sababu huo muonekano hata mimi umenishangaza, jaribu kwenda setting then themes una uwezo wa kudownload themes na kueka nyengine? kama ndio basi ni original hii. utatakiwa utengeneze samsung account kama huna.

hizi picha zinaonesha ni original ila picha mbona ni ndogo? umezi resize kabla hujazituma?
 
Nimeongea nae tumeelewana vzr ili kama ni feki atanibadilishia atanipa aina nyingine hata sony lkn hadi nijiridhishe ni original lkn nawasubiri viongozi waje hapa kunisaidia
 
Jaman mkuje jaman nawasubiri mwe !duka litafungwa
 
Nimeongea nae tumeelewana vzr ili kama ni feki atanibadilishia atanipa aina nyingine hata sony lkn hadi nijiridhishe ni original lkn nawasubiri viongozi waje hapa kunisaidia
Sija resize but nimescreen shot nikaweka hapo hivo hivo
 
mkuu j7 prime haina amoled hivyo usishangae quality ya kioo ni kawaida kwa hii simu.

kuhusu muonekano pengine imeekwa themes? sababu huo muonekano hata mimi umenishangaza, jaribu kwenda setting then themes una uwezo wa kudownload themes na kueka nyengine? kama ndio basi ni original hii. utatakiwa utengeneze samsung account kama huna.

hizi picha zinaonesha ni original ila picha mbona ni ndogo? umezi resize kabla hujazituma?
Sija resize but nimescreen shot tu nikazituma. But theme nazipata wapi
 
Nikidownlod theme inaniandikia hivo hayo maandishi mdogo hapo chini hapa sasa sijui ndo feki
b74610a378e2ca8496a8b0128d9faafd.jpg
 
Nililuwa nadhani ikitokea hivo ndo original, yani hiyo kijani na blue, au hiyo ndo amolled
3930c3d4b42b3f49eceaa7129ee1d4c6.jpg
 
Back
Top Bottom