Hiyo hapo mkuu niangaliziedownload app ya cpu z playstore kisha ifungue angalia soc yake ni ipi? ikiwezekana tuma screenshot hapa.
mkuu j7 prime haina amoled hivyo usishangae quality ya kioo ni kawaida kwa hii simu.Hiyo hapo mkuu niangalizie![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sija resize but nimescreen shot nikaweka hapo hivo hivoNimeongea nae tumeelewana vzr ili kama ni feki atanibadilishia atanipa aina nyingine hata sony lkn hadi nijiridhishe ni original lkn nawasubiri viongozi waje hapa kunisaidia
Sija resize but nimescreen shot tu nikazituma. But theme nazipata wapimkuu j7 prime haina amoled hivyo usishangae quality ya kioo ni kawaida kwa hii simu.
kuhusu muonekano pengine imeekwa themes? sababu huo muonekano hata mimi umenishangaza, jaribu kwenda setting then themes una uwezo wa kudownload themes na kueka nyengine? kama ndio basi ni original hii. utatakiwa utengeneze samsung account kama huna.
hizi picha zinaonesha ni original ila picha mbona ni ndogo? umezi resize kabla hujazituma?
unaenda settings kisha themesSija resize but nimescreen shot tu nikazituma. But theme nazipata wapi
Mmhh...mkuu tuache kwanza tutafakari ndo tuje na jibu sahihiJaman mkuje jaman nawasubiri mwe !duka litafungwa
