Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,246
- 4,753
Kitu Samsung KoreaNi made by wapi Korea ama vietnum
Kitu Samsung KoreaNi made by wapi Korea ama vietnum
Lakini kama una mashaka si urudishe tu mkuu. Huta ifurahia ukiwa na mashakaInamaana nimetoka kwenye fake tecno naingia fake samsung wakati nimejipiga ili kupata original simu acha niiambie roho yangu ni org ili maisha yaende maana hata mwenye duka alinambia ntaongeza walau laki na nusu kupata sony Xperia wakati hiyo pesa sina. Basi tuù
Angetuma tukaiona ilivyo aseeLakini kama una mashaka si urudishe tu mkuu. Huta ifurahia ukiwa na mashaka


Kuna jamaa yangu alichukua mlimanicity j5 prime nayo ni fekiPole Tiku hiyo simu sio og bna. Watu wana zichakachua sana samsung mpaka unaiona yenyewe.
Muhimu rudi kwa aliyekuuzia mwambie akurudishie pesa zako. Usichukue simu nyingine hapo.
Ukitaka simu tembelea maduka ya simu husika kama Samsung wenyewe wapo hata mlimano city.
Duka la samsung???Kuna jamaa yangu alichukua mlimanicity j5 prime nayo ni feki
J7 prime ina TFT mkuu syo AMoLED Kama tulvyo zoeaaMkuu Mkwawa hio ni Very Fake Galaxy J7 Prime...hata wauzaji wanajua ila wanashikisha tu....tazama tu display....Hakuna samsung OG yenye display ya hivo.
uliichukua kwa bei gani mkuuSasa kwann uchukue kutoka vietnam mkuu ?
Mimi ni made in korea J5 prime na iko vzr sana![]()
![]()
![]()
![]()
Hiyo simu ni orginal sema kinachokuchanganya ulizoea android version ya marshmallow sasa hiyo ni nougat ndo maana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tiku umepagawa mpaka unajiquote mwenyewe
Jaman mkuje jaman nawasubiri mwe !duka litafungwa
Nililuwa nadhani ikitokea hivo ndo original, yani hiyo kijani na blue, au hiyo ndo amolled![]()

Kaka asante sana nina grand prim plus yangu yani nilikuwa nikibisha na watu kuwa ni original wakidai ni copy nimetumia huo utaratib wako wameniambi ni og pamoj na kwamba ni made in china kumbe hat china wanatengeneza samsung originalKujua kama simu yako ya Samsung ni Original ingia playtore download App inaitwa Phone Info Samsung....halafu nenda sehemu ya refurbished subiri kwa sekunde kadhaa itakwambia Kama simu yako ni Original au La.
Yani itakupa details zote hadi nchi ilikotengenezwa,imechajiwa Mara ngapi,nk
Watu wangeelewa hii nukta wasinge endelea kujadili muonekano wa hiyo simu kumbe watu hawajui kitu kabisa wanamtia wenge jamaa tu simu org. AnaogopaJ7 prime ina TFT mkuu syo AMoLED Kama tulvyo zoeaa
A point to note
Pamoja sana mkuu...ndo maana nataka na Huyo Jamaa nae adownload hyo App aone itamletea nn tikuKaka asante sana nina grand prim plus yangu yani nilikuwa nikibisha na watu kuwa ni original wakidai ni copy nimetumia huo utaratib wako wameniambi ni og pamoj na kwamba ni made in china kumbe hat china wanatengeneza samsung original![]()
![]()