Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Msaada: Hii ni original Samsung galaxy j7 prime?

Inamaana nimetoka kwenye fake tecno naingia fake samsung wakati nimejipiga ili kupata original simu acha niiambie roho yangu ni org ili maisha yaende maana hata mwenye duka alinambia ntaongeza walau laki na nusu kupata sony Xperia wakati hiyo pesa sina. Basi tuù
Lakini kama una mashaka si urudishe tu mkuu. Huta ifurahia ukiwa na mashaka
 
Pole Tiku hiyo simu sio og bna. Watu wana zichakachua sana samsung mpaka unaiona yenyewe.
Muhimu rudi kwa aliyekuuzia mwambie akurudishie pesa zako. Usichukue simu nyingine hapo.
Ukitaka simu tembelea maduka ya simu husika kama Samsung wenyewe wapo hata mlimano city.
Kuna jamaa yangu alichukua mlimanicity j5 prime nayo ni feki
 
Sijui ila alinambia amenunua mlimani city
 
nilikuwa naiamini CPU z kwa kutambua simu fek na orijinal lakin naona saiv wajanja wameboresha mbinu zao
 
Wabongo bana! yaani ngoma ishasoma SUMSUNG halafu bado tunaijadili kama ni SAMSUNG og or fake!?
 
Though nimejifunza mengi sana humu, na mimi nikiwa ni mtumiaji wa J7 PRIME since August 2016 na bado sijaichoka japo A3 2017 inavutia sana kwa watumiaji wa chini ya laki 7
 
Sasa kwann uchukue kutoka vietnam mkuu ?
Mimi ni made in korea J5 prime na iko vzr sana
042948a153d733a8504c05c06e066ecd.jpg
b8f23cf3570a7701a815ae10fae48bf4.jpg
8530a07d8cc8cae919f4287981d3dcd6.jpg
0e32ac3007bdc103a30a0365acede4d0.jpg
uliichukua kwa bei gani mkuu
 
Kujua kama simu yako ya Samsung ni Original ingia playtore download App inaitwa Phone Info Samsung....halafu nenda sehemu ya refurbished subiri kwa sekunde kadhaa itakwambia Kama simu yako ni Original au La.
Yani itakupa details zote hadi nchi ilikotengenezwa,imechajiwa Mara ngapi,nk
 
Kujua kama simu yako ya Samsung ni Original ingia playtore download App inaitwa Phone Info Samsung....halafu nenda sehemu ya refurbished subiri kwa sekunde kadhaa itakwambia Kama simu yako ni Original au La.
Yani itakupa details zote hadi nchi ilikotengenezwa,imechajiwa Mara ngapi,nk
Kaka asante sana nina grand prim plus yangu yani nilikuwa nikibisha na watu kuwa ni original wakidai ni copy nimetumia huo utaratib wako wameniambi ni og pamoj na kwamba ni made in china kumbe hat china wanatengeneza samsung original
a9130e62ce8df7bbdc9a1a433d807abe.jpg
84bae1672d92b5d86264563fdea87c0b.jpg
 
J7 prime ina TFT mkuu syo AMoLED Kama tulvyo zoeaa
A point to note
Watu wangeelewa hii nukta wasinge endelea kujadili muonekano wa hiyo simu kumbe watu hawajui kitu kabisa wanamtia wenge jamaa tu simu org. Anaogopa
 
Kaka asante sana nina grand prim plus yangu yani nilikuwa nikibisha na watu kuwa ni original wakidai ni copy nimetumia huo utaratib wako wameniambi ni og pamoj na kwamba ni made in china kumbe hat china wanatengeneza samsung original
a9130e62ce8df7bbdc9a1a433d807abe.jpg
84bae1672d92b5d86264563fdea87c0b.jpg
Pamoja sana mkuu...ndo maana nataka na Huyo Jamaa nae adownload hyo App aone itamletea nn tiku
 
Ndio maana sipendagi kabisa haya masamsung, yaani kushikishwa feki ni kugusa tu.

Nakumbuka hata mimi niliwahi kuuziwa S3 mwaka 2014 nikiaminishwa ni OG nimefika home mara inaanza kustuck stuck halafu kamera yake mbovuu kuuliza kwa wanaozijua ndio nikaambiwa sijui ni high copy wala sio OG.

Binafsi mimi sikushauri kabisa ununue Samsung yoyote ile kuna simu za Tecno nzuri tu ambazo hazina makando makando tena nzuri tu kuliko hata hizo Samsung
 
Back
Top Bottom