kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
Weka picha ikiwa kweny download mode tuoneJaman mkuje jaman nawasubiri mwe !duka litafungwa
Weka picha ikiwa kweny download mode tuoneJaman mkuje jaman nawasubiri mwe !duka litafungwa
Nimejaribu imekubaliPiga Hii kitu kama ni og kweli,*#0*#........
Imekubali imekupa ujumbe gani?Nimejaribu imekubali
Imenipa ujumbe huoImekubali imekupa ujumbe gani?
Kwahiyo hiyo kijani na blue ndo amolledNililuwa nadhani ikitokea hivo ndo original, yani hiyo kijani na blue, au hiyo ndo amolled![]()

Samsung Store ya Wapi?hio ni screenshot ya simu yangu Samsung galaxy j7 neo ni original nimenunua samsung store
Nahisi hivo amoled huwa ni nnKwahiyo hiyo kijani na blue ndo amolled![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yani hiyo ni original wala usiogope kabisa hiyo ni version ya saba naon umewek had high contrast maandish yakolee yanakuwa desing kam bold safi sana karib ulimweng wa samsung hutojutiaNimetoa zote niangalizien kama ni original roho itulie kama ni feki asubuhi nafungua duka ananikuta nje![]()
![]()
![]()
![]()
Asante miaka yote nimetumia tecno nikasema mwaka huu natumia samsung ndomaana nilikua nahahaPole sana na hongera.
We jamaa banaa ulikuwa na wasiwasi kweli super amolled ni kitu kingine tu banaNahisi hivo amoled huwa ni nn
yani kila nikiangalia screenshot zako ukubwa wake naendelea kupata wasi wasi.Nikidownlod theme inaniandikia hivo hayo maandishi mdogo hapo chini hapa sasa sijui ndo feki![]()
Nielekeze ni niniWe jamaa banaa ulikuwa na wasiwasi kweli super amolled ni kitu kingine tu bana
mkuu umesoma lakini nilivyoandika?Ikiwa kwenye download mudi![]()