Msaada: Gari yenye plate number ya njano kwa matumizi ya nyumbani natakiwa kulipia LATRA

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Jul 1, 2017
3,032
4,028
Nina gari ndogo aina ya Pickup Toyota Hilux. Gari hii ina plate number ya rangi ya njano. Kwa maana hiyo siitumii kwa kufanya biashara yoyote ni yangu tu ya kifamilia.

Naomba kuuliza je, gari kama hii inahitaji kulipia LATRA? Naomba msaada wenu.
 
Nina gari ndogo aina ya Pickup Toyota Hilux.Gari hii ina plate number ya rangi ya njano.Kwa maana hiyo siitumii kwa kufanya biashara yeyote ni yangu tu ya kifamilia.
Naomba kuuliza je gari kama hii inahitaji kulipia LATRA?
Naomba msaada wenu
LATRA ni wahuni, wanafosi hadi zisizo na plate namba za biashara kulipa tozo yao.

Nimeona huku nilipo maroli ya mchanga na vikirikuu vina stika zao na wamiliki niliwauliza wakaniambia usipolipa ni msala.
 
LATRA ni wahuni, wanafosi hadi zisizo na plate namba za biashara kulipa tozo yao.

Nimeona huku nilipo maroli ya mchanga na vikirikuu vina stika zao na wamiliki niliwauliza wakaniambia usipolipa ni msala.
sasa mkuu umeshasema malori na virikuu hivyo tayari ni biashara sasa mimi sio biashara kabisa
 
Ikishakuwa pickup tu,wanaasume kuna wakati utakodishwa,hyo ndio shidaK
Kama ni hivyo basi Tanzania ni moja ya nchi yenye usumbufu mkubwa mno kwa raia wake kwa kuwatoza kodi nyingi zisizo na mashiko.Mimi ni mstaafu natumia pickup yangu kubebea mbolea shambani na majani ya ngombe sasa hiyo LATRA nitailipa vipi kwa pension natamani kuhamia nchi nyingine.
 
Kama ni hivyo basi Tanzania ni moja ya nchi yenye usumbufu mkubwa mno kwa raia wake kwa kuwatoza kodi nyingi zisizo na mashiko.Mimi ni mstaafu natumia pickup yangu kubebea mbolea shambani na majani ya ngombe sasa hiyo LATRA nitailipa vipi kwa pension natamani kuhamia nchi nyingine.
Acha tu babangu
 
Ushasema ya Plate number ni Njano sasa unahofu gani?
Za biashara zinakuwa na Plate number nyeupe
Siku hizi kuna gari zina yellow plate number na bado zinafanya biashara, mfano hizo kirikuu. Kuna mdau kachangia kwa kusema kwakuwa mdau mwenzetu anatumia pick up wana assume ipo siku atakodishwa ili kuepuka usumbufu basi wanakata kwa kuforce
 
Kama ni hivyo basi Tanzania ni moja ya nchi yenye usumbufu mkubwa mno kwa raia wake kwa kuwatoza kodi nyingi zisizo na mashiko.Mimi ni mstaafu natumia pickup yangu kubebea mbolea shambani na majani ya ngombe sasa hiyo LATRA nitailipa vipi kwa pension natamani kuhamia nchi nyingine.
Mkuu Tz rafu ni nyingi sana hasa raia wa kawaida asipojikubali kuonewa mambo hayaendi
 
Ushasema ya Plate number ni Njano sasa unahofu gani?
Za biashara zinakuwa na Plate number nyeupe
Inategemea yupo upande upi wa Muungano. Kule upande ule, plate # ya NJANO~ Commercial
Plate # ya WHITE ~Private
 
Back
Top Bottom