Nenda TRA na card yako original. Zamani gharama ilikuwa 10,000/ sijui sasa gharama zikojeHabari wakuu, nimenunua pikipiki ina plate number nyeupe , Sasa mimi matumizi yangu ni binafsi nataka niweke plate number ya njano, je naanzia wapi kubadili na gharama zake zikoje? Card ya pikipiki ipo.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa .
Nenda TRA na card yako original. Zamani gharama ilikuwa 10,000/ sijui sasa gharama zikoje
Na mfano nikataka kuweka jina langu officially kwa pikipiki kama wanavyowekaga kwenye gari inagharimu Tsh ngapi??
View attachment 2636530
Kama hadi Nshomile tena wa Muleba umeliona kuwa ni sifa kijinga, basi itakuwa kweli ni sifa ya kijinga. Or isn't it!?Pikipiki ununue million 3 uje ukilipie special plate number million 5 seriously?
au pikipiki ni zile BMW za million 120?
Mkuu artist kibao mtaani mwambie weka plate number ya njano kesi inaisha.usipende kuja ofisini kusumbua kwa vitu vidogo kama hivi.Habari wakuu,
Nimenunua pikipiki ina plate number nyeupe, Sasa mimi matumizi yangu ni binafsi nataka niweke plate number ya njano, je naanzia wapi kubadili na gharama zake zikoje? Card ya pikipiki ipo.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa .
Kama hadi Nshomile tena wa Muleba umeliona kuwa ni sifa kijinga, basi itakuwa kweli ni sifa ya kijinga. Or isn't it!?