Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

Ni kweli usemavo ila nasikia zoezi la kubomoa dar limekwisha na hakuna ubomoaji tena katika maeneo karibu ya reli,ndio nikataka wadau wenye kujua wanihakikishie ili tupate amani ya roho.

Nyumba yenu iko mita 15 au mita 30 kutoka katikati ya reli?
 
Waone waliobomolewa, hao wana very reliable information.
Kwa kifupi: soma hiyo, lakini waliwabomolea watu kwa mita 30, kwa uonevu. sijui kwa nini hawakwenda mahakamani

Railways act, 2002

Interpretation

"railway strip'' means the land oil both sides of a railway track measuring in ail urban area fifteen metres and in a rural area thirty metres in width from the centre line of the track;


Railway

strip

57--41) A railway strip constitutes land adjacent to the railway track reserved to facilitate future development of rail infrastructure.

(2) Except with the written permission of the Company, a person shall not erect any building or structure or execute any works on a railway strip.

(3) Where any person has erected or erects any building, or structure, or has executed or executes any works on a railway strip without the written permission of the Company, the Company shall give written notice to Such person to demolish or modify such building, structure or works within thirty days of such notice.

(4) Where a person does not, within thirty days of the notice referred to in Subsection (3), demolish or modify the building, structure or works the Company shall demolish or modify or cause to be demolished or modified, the building, structure or works and such person shall pay

for the costs of such demolition or modification.
Hio ndio Sharia kweli. Na wananchi walio bomomolewa wameshaenda mahakamani kwa hiyo kwakuwa Suala Lipo mahakamani ngoja tusubilie maamuzi ya mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waone waliobomolewa, hao wana very reliable information.
Kwa kifupi: soma hiyo, lakini waliwabomolea watu kwa mita 30, kwa uonevu. sijui kwa nini hawakwenda mahakamani

Railways act, 2002

Interpretation

"railway strip'' means the land oil both sides of a railway track measuring in ail urban area fifteen metres and in a rural area thirty metres in width from the centre line of the track;


Railway

strip

57--41) A railway strip constitutes land adjacent to the railway track reserved to facilitate future development of rail infrastructure.

(2) Except with the written permission of the Company, a person shall not erect any building or structure or execute any works on a railway strip.

(3) Where any person has erected or erects any building, or structure, or has executed or executes any works on a railway strip without the written permission of the Company, the Company shall give written notice to Such person to demolish or modify such building, structure or works within thirty days of such notice.

(4) Where a person does not, within thirty days of the notice referred to in Subsection (3), demolish or modify the building, structure or works the Company shall demolish or modify or cause to be demolished or modified, the building, structure or works and such person shall pay

for the costs of such demolition or modification.
MITA 30(MAIN LINE) NI ILE RAILY INAYOKWENDA BARA NA MITA 15 NI ILE RAILY INAYOKWENDA UBUNGO AU KURASINI NA CHANG'OMBE(SIDING)ufafanuzi kwa lugha yetu
 
sisi tunataka standard gauge railway so ameni hv ujenzi unaendeleaje manana last month walikuwa kwenye mobilization
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.

Watawavunjia , wao wanapima mita 30 kutoka katikati ya reli kwenda kulia na kushoto, yaani kushoto 30m na kulia 30m
 
Bado lipo na watu wanabomoa nyumba zao wenyewe
Mkuu kituko,natanguliza heshima kwako sababu ninataka uhakika ili nasi tujiandae kutoa vyombo na vitu muhimu,ndugu naomba unihabarishe ni maeneo gani watu wanaendelea kubomoa nyumba zao tafadhali.
 
Mkuu kituko,natanguliza heshima kwako sababu ninataka uhakika ili nasi tujiandae kutoa vyombo na vitu muhimu,ndugu naomba unihabarishe ni maeneo gani watu wanaendelea kubomoa nyumba zao tafadhali.
Hamisha tu takataka zako haina kusamehewa hiyo
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
Mkuu upo mtaa wa kilwa
 
Back
Top Bottom